YASINI MRUTU
Member
- Apr 4, 2015
- 96
- 30
Mwaka huu kwa watu wenye akili timamu na wapenda maendeleo Haipingiki kua CCM Hawana chao..Ila kwale ambao wanadhani siasa ni ushabiki wameendelea kushangilia vipenga vya Ccm wakiamini Ushindi utawapa usingizi wasichekwe..WAMEBAKIA KUTUMIWA KWA MSHAHARA WA MAPUMBA NA MAJI..MAZUZU AMKENI MUWE JAPO MALOFA TULIOKOE TAIFA.