Mzee Mkapa: Ningependa Serikali yetu ijitambulishe kama Serikali ya CCM kuliko u-mimi...

Tulimpa kura kwa sababu hata kwenye kampeni aliinadi serikali atakayoiongoza kama serikali ya Magufuli, hata mabangon yalisema hivyo na Mh Mkapa aliyaona na kuyasoma lakini hakusema kituib wakati huo. It's not fair sasa kuanza kulalamika. Ina maana alikuwa alitumie jina la Magufuli kwa ajili ya kupata kura tu, halafu kura zikipatikana alipe mgongo? Ajue kuw tulipiga kura kwa serikali ya Magufuli kwa tiketi ya CCM. Asubiri 2025 ili anadi serikali ya CCM kwa tiketi ya CCM. Nani asiyejua kichefuchefu kilichokuwa kinawapata watu kutokana na mambo yalivyokuwa CCM, ambayo kwa sasa ndio Rais Magufuli anayashughulikia?
 
nakubaliana na wewe, lakini katika nchi ambayo hakuna haki za binadamu, watu wanauawa, wanatupwa baharini, watu wanapigwa risasi, watu wanabambikiwa kesi, rais anatumia pesa bila idhini ya bunge, mahakama hazina uhuru..hakuna haki mahakamani and the like, utaonekana kituko kama ukiacha kuyadokeza haya na hilo lako ukaliunganisha.

Sawa kabisa lakini siyo jambo rahisi kwa mfano, hayo kuzungumzwa kwenye kikao kama kile kilichoshirikisha viongozi waliohamia upande mwingine. Sana sana ikibidi hayo yazungumzwe, kwa hakika mazungumzo hayo yatafanyika kwa usiri mkubwa sana. Na hata kama yamezungumzwa kwenye kikao kile, usitarajie kabisa tbc wakuwekee kwenye video yao!
 
Sawa kabisa lakini siyo jambo rahisi kwa mfano, hayo kuzungumzwa kwenye kikao kama kile kilichoshirikisha viongozi waliohamia upande mwingine. Sana sana ikibidi hayo yazungumzwe, kwa hakika mazungumzo hayo yatafanyika kwa usiri mkubwa sana. Na hata kama yamezungumzwa kwenye kikao kile, usitarajie kabisa tbc wakuwekee kwenye video yao!
perfect, very perfect. You have a solid point. LKN those who crossed the floor could have reveal the information, but as you have said it, such information can not be discussed there!
 
Kikao cha wazee wastaafu ikulu, mzee Mkapa alieleza kuchukizwa kwake na kauli zile za "serikali ya Magufuli" bali waseme ya CCM. Yote hayo ili ccm iweze kuuzika siku zijazo.
Sasa sijui nani hakumuelewa, maana mambo yako vile vile. Jee ni kujikomba kwa viongozi au ni amri toka juu kuwa 'sifa na utukufu' lazima ziende kwake?

Sasa hivi kiongozi akihutubia kueleza mafanikio basi atatajwa Magu Mara nyingi sana kuliko itajwavyo serikali au ccm au isitajwe kabisa.

Hii inaonyesha hakuna collective responsibility katika maamuzi hivyo kumbe ccm imeshakufa ila maamuzi na fikra za yote ni Magu.

Hata wale wanaohama vyama kwenda ccm, hawaifuati ccm wanasema "tunaunga mkono juhudi za Magufuli".

Hii maana yake ni kuwa Leo hii Mungu akimpenda zaidi wote wataondoka au nao watamfata kule aliko pendwa zaidi? Au wenye ccm wenyewe wakiamua kumtema nao wanaondoka?
Mie nadhani wanaccm hawakuwa na sababu za kushangilia wimbi hili la wahamiaji kwani hawakuifata ccm bali Magufuli na ndio maana wanagawiwa wao vyeo wapambanaji Wa asili wa ccm wanasugua benchi
 
Ccm ni taasisi inaishi , jina linaishi kulingana na uhai wa Binadimu . amewaza kuwa itakuwa ngumu sana siku moja kumshawishi binadamu kuwa Haya yalifanywa na ccm sio mtu flani. Miaka yote upinzani ilikuwa inapambana kuondoa mfumo Wa ccm , imefanikiwa , sasa IPO inapambana na mtu. Cc. Pascal, and gaduume.
.
 
Na Wewe umeanza kujigeuza Mshauri mwelekezi wa chama Cha Mapinduzi usione aibu karibu Nyumbani kumenoga

Kama karudi Mange Na Mtatiro Wewe Nani iwe ajabu!
 
Ngoma ikilia sana.......

Mwisho wa CCM umekaribia sana

Kila mwananchi anajua kuwa CCM sasa hivi inashikiliwa katika uzi mwembamba sana wa NEC+Vyombo vya dola, vikiongozwa na Jeshi letu la Polisi=CCM

Vyombo hivyo siku vikianza kazi kwa weledi, ndiyo siku ambayo tutaizika rasmi CCM
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom