Mtaka Haki
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 492
- 149
Katika kufunga kampeni kulikuwepo na mambo yaliyonenwa kwa jazba.
1. Wapinzani ni Kokoto.
2. Nawaalaani viongozi wa dini wala siwakemei.
Hizi ni kauli zilizotolewa na Rais wa awamu ya tatu Mh. B. W. Mkapa
Kwa upande wa kokoto inaonekana zimeanza kutengeneza Zege nzito zinazojenga mnara ulio mrefu kuliko baadhi ya milima.
Kwa upande wa kuwalaani viongozi wa dini nadhani ni pale ambapo bado tunadhani viongozi wa dini wana chuki na chama au watu.
Viongozi wa dini wanaona utaifa ni wa muhimu kuliko wa chama.
Kama wakiona mambo yahusuyo maslahi ya taifa yanaenda mrama basi wanapoongea sio kwa sababu nyingine. Kuna ahadi juu ya hawa watumishi wa Mungu wanaposimamia haki, ahadi kuhusu atakayewabariki atakuwa amebarikiwa na atakayewalaani ....
1. Wapinzani ni Kokoto.
2. Nawaalaani viongozi wa dini wala siwakemei.
Hizi ni kauli zilizotolewa na Rais wa awamu ya tatu Mh. B. W. Mkapa
Kwa upande wa kokoto inaonekana zimeanza kutengeneza Zege nzito zinazojenga mnara ulio mrefu kuliko baadhi ya milima.
Kwa upande wa kuwalaani viongozi wa dini nadhani ni pale ambapo bado tunadhani viongozi wa dini wana chuki na chama au watu.
Viongozi wa dini wanaona utaifa ni wa muhimu kuliko wa chama.
Kama wakiona mambo yahusuyo maslahi ya taifa yanaenda mrama basi wanapoongea sio kwa sababu nyingine. Kuna ahadi juu ya hawa watumishi wa Mungu wanaposimamia haki, ahadi kuhusu atakayewabariki atakuwa amebarikiwa na atakayewalaani ....