Wakuu
Ukitafakari hayo maneno, utagundua matendo ya CCM yanawachukiza baadhi ya wastaarabu.
Ukiangalia jinsi CCM inavofanya siasa zake kiukweli bado wako nyuma sana kwani bado wanaamini ukomonisti wa miaka ya kutafuta uhuru wa kisiasa.
Dunia sasa inapambana kutafuta uhuru wa kiuchumi, maana nchi nyingi walishamaliza kujenga shule za msingi, miundombinu mataifa mengi yalimaliza muda mrefu. Ukiangalia political popularity ambazo viongozi wanafanya ili watawale kisiasa utaona huruma.
Mzee kawakumbusha kua dunia imehama mnakofikiria, waacheni na wengine wafanye siasa kwani tofauti na hapo itakua mbaya sana baadae. Mtajikuta mmeiingiza nchi kwenye hata vita kwa kulazimisha watu wakubali chama chenu wakati kila mmoja anahaki ya kua chama chochote anachopenda na ni takwa la kikatiba.
Ukitafakari hayo maneno, utagundua matendo ya CCM yanawachukiza baadhi ya wastaarabu.
Ukiangalia jinsi CCM inavofanya siasa zake kiukweli bado wako nyuma sana kwani bado wanaamini ukomonisti wa miaka ya kutafuta uhuru wa kisiasa.
Dunia sasa inapambana kutafuta uhuru wa kiuchumi, maana nchi nyingi walishamaliza kujenga shule za msingi, miundombinu mataifa mengi yalimaliza muda mrefu. Ukiangalia political popularity ambazo viongozi wanafanya ili watawale kisiasa utaona huruma.
Mzee kawakumbusha kua dunia imehama mnakofikiria, waacheni na wengine wafanye siasa kwani tofauti na hapo itakua mbaya sana baadae. Mtajikuta mmeiingiza nchi kwenye hata vita kwa kulazimisha watu wakubali chama chenu wakati kila mmoja anahaki ya kua chama chochote anachopenda na ni takwa la kikatiba.