Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
Kuna mzee mmoja aliishi miaka mingi baada ya kujiona keshakua mzee akawaambia wanawe nitakapokufa mimi vunjeni hii nyumba nimeweka mali nyingi hpo chini
Baada ya kufa watoto walivunja ile nyumba na kukuta kasha wakalifungua wakakuta karatasi imeandikwa kama
KAMA NYINYI NI VIDUME BASI JENGENI NYUMBA UPYA.
Baada ya kufa watoto walivunja ile nyumba na kukuta kasha wakalifungua wakakuta karatasi imeandikwa kama
KAMA NYINYI NI VIDUME BASI JENGENI NYUMBA UPYA.