Mzee Massawe na Mzee Temba

Kinyungu

JF-Expert Member
Apr 6, 2008
17,364
33,003
Siku moja Mzee Temba alikwenda kumtembelea Mzee Masawe nyumbani kwake. Katika mazungumzo yao Mzee Temba alimshangaa sana Mzee Masawe alipomwona kijana wa kiume wa Mzee Masawe wa miaka kama 30 akiishi na baba yake nyumba moja.

Basi mazungumzo yao Yalikuwa hivi:

Mzee Temba: Aisee inakuwaje hadi leo huyu kijana wako Marcel bado anakaa hapa nyumbani kwako?

Mzee Masawe: Hata mimi namshangaa sana embu muite umuulize maana hata sijawahi sikia hata amesingiziwa kesi ya kuiba kuku. Yeye anakaa tu ndani!
 
Back
Top Bottom