Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,698
- 8,843
Haha!
Hivi ile ya Mugabe kuchapiwa na Waziri wake, Imeishia wapi?
Hivi ile ya Mugabe kuchapiwa na Waziri wake, Imeishia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni mtazamo wako,hivi unaweza kumlinganisha Mandela na yule mchonga pua,kwa plastic surgery,kwa ajili ya kuutafuta uzungu kwa nguvu,Michael Jackson?!
Kama Mandela hakuwa maarufu,ni kwa nini basi hivi sasa,vyombo vya habari hivi sasa vinabashiri kuwa,mazishi yake yanaelekea ndiyo yatakayovunja record,kwa kuhudhuriwa na watu webfoot maarufu,yakiyazidi hata yale ya Pope John Paul wa pili na yale ya Churchil,mazishi ambayo,ndiyo yanasemekana kuwa ndiyo mazishi yaliyohudhuriwa na watu wengi zaidi,kuliko mazishi ya binadamu mwingine yeyote katika karne iliyopita ya 20 na karne tunayoendelea nayo ya 21.
FaizaFoxy wazungu kamwe hawawezi kumwandika Mandela kuwa ndiye binadamu maarufu duniani na hata muandishi hajasema kuwa Mandela ndiye binadamu maarufu duniani bali amesema Mandela ni mtu anayeaminika kuwa, ndiye binadamu maarufu kuliko yeyote katika watu wote walioishi karne hizi za 20 na 21. lakini pia msije mkadhani kwamba wazungu walikuwa wanampenda Mandela bali ni wanafiki tu......Nimetembelea list zote za watu mashuhuri duniani nilizoweza kuzipata kwenye mtandao sijaona kuwa Mandela ndiye binaadam maarufu duniani. Hajashika namba moja kwenye list yoyote ile.
Nimeona list moja ametajwa Michael Jackson. List nyingine Sir Isaac Newton. Nyingine Marilyn Monroe. Mandela hayumo katika namba moja.
Kwanini uzuwe?
Mkuu Madiba angeishi Tanzania, asikaa apate heshima hiyo kwani alikuwa mdhaifu sna kwa wanawake!!!! Binnti yake kwa mkewa kwanza hadi sasa ana mlaani sana kwa kitendo cha kumwacha mama yao...ilhali nie aliempa Mandela hela za kusomea digrii ya sheria kwa miaka mitatu!! Mtoto wa Madiba anasema aliambiwa na mama yake kuwa baba yake alimwacha kwakuwa anapemda sana mademu wazuri..alimwona yeye (mke wa kwanza) kazeeka!! Ingekuwa TZ..aah!! angeshikishwa adabu na wana CCM...abao wako bize na ku link matatizo ya ndoa za viongozi na uwezo wao wa kungoza!!
FaizaFoxy wazungu kamwe hawawezi kumwandika Mandela kuwa ndiye binadamu maarufu duniani na hata muandishi hajasema kuwa Mandela ndiye binadamu maarufu duniani bali amesema Mandela ni mtu anayeaminika kuwa, ndiye binadamu maarufu kuliko yeyote katika watu wote walioishi karne hizi za 20 na 21. lakini pia msije mkadhani kwamba wazungu walikuwa wanampenda Mandela bali ni wanafiki tu......
Katika gazeti la mwananchi la tar.8/12 ukisoma ile habari ya MANDELA NA FAMILIA,imeandikwa kuwa mke wa kwanza aliachana na Mandela kwa kuwa yeye(mke) alikuwa ni "SHAHIDI WA YEHOVA",na kwamba mashahidi wa Yehova hawaoani na wanasiasa...vipi, tuamini kauli yako mkuu?
Hata hivyo, lipo eneo moja tu, ambalo mzee Mandela alishindwa kusamehe, na eneo hilo si lingine bali ni lile, alipopata ushahidi wa kutosha kuwa, wakati anatumikia kifungo jela, na hata baada ya kutoka jela, mkewe Winnie, alikuwa "akichapwa" na mwanasheria wao wa familia, jambo ambalo hatimaye, lilimlazimisha mzee wetu huyo, anayeheshimika sana duniani kwa uvumilivu wake, wa mambo makubwa yaliyomkumba maishani mwake, kutoweza kulivumilia hilo, hadi kusababisaha, kumpa talaka mkewe Winnie na kumwoa, mjane wa Samora Matchel, bi Graca Matchel!
You might have thought the obstacles she faced would stop her. Take, for example, the publication in the Johannesburg Sunday Times in September 1992 of a letter she had written to her lover six months earlier.
The letter was dated 17 March 1992 and addressed to Dali Mpofu, one of her lawyers in the trial in which she was convicted of the assault and kidnapping of 14-year-old 'Stompie' Moeketsi Seipei and three others.
Mpofu was also her deputy in the ANC's welfare department. The letter confirmed long-standing suspicions both about their affair and the whereabouts of missing ANC funds.
Mrs Mandela, who was 56 at the time, accused Mpofu, who was 30, of having affairs with other women. 'You're running around ----ing at the slightest emotional excuse,' she wrote.
'The fact that I haven't been speaking to Tata (Nelson Mandela) for five months now over you is no longer your concern. I keep telling you the situation is deteriorating at home, you are not bothered because you are satisfying yourself every night with a woman. I won't be your bloody fool, Dali.' Source
Sasa hapo ndipo ninajiuliza, hivi mzee Mandela, hakuwa anaiamini falsafa ya mwanumuziki Richi Maboko, kuwa kuchapiwa ni siri ya ndani, ambapo wana ndoa, wanapaswa kuyamaliza wenyewe ndani, badala ya kuyatoa nje, na kuwapa faida walimwengu, ambao hayawahusu mambo hayo?!!
FaizaFoxy wazungu kamwe hawawezi kumwandika Mandela kuwa ndiye binadamu maarufu duniani na hata muandishi hajasema kuwa Mandela ndiye binadamu maarufu duniani bali amesema Mandela ni mtu anayeaminika kuwa, ndiye binadamu maarufu kuliko yeyote katika watu wote walioishi karne hizi za 20 na 21. lakini pia msije mkadhani kwamba wazungu walikuwa wanampenda Mandela bali ni wanafiki tu......
Mugabe ubabe wake unaishia kwa mahasimu wake wa kisiasa akina Tsangirai,lakini kwa huyo mkewe,former PS wake,hathubutu kumpa talaka,hata akimkuta red handed, anachapwa,kwa kuwa huyo mzee "amezimia" kwa huyo former PS wake,kiasi ambacho hakohoi wala hafurukuti!!Haha!
Hivi ile ya Mugabe kuchapiwa na Waziri wake, Imeishia wapi?
Itabidi mods mumtafute huyo jamaa, kwa namba ya simu aliyoweka kwenye post yake, ili awalipe fee ya advertisement, kwa kuwa kama shamba lake, keshaliuza kwa shilingi milioni 5 kwa bei aliyoitangaza humu jamvini, basi angalau nyiye mods mlambe 10 percent ambayo ni laki 5.Hiyo ni ngumu aiseee wala haiwezekani.
Hata Mungu yoote anasamehe ila inapotokea umechapiwa anaruhusu utoe talaka.......
Mimi sikusema kuwa Mandela hakuwa maarufu, anao umaarufu wake lakini si maarufu namba moja duniani, kumbuka hilo.
Mchonga pua hakuna asiyemjuwa duniani. Mpaka leo anashika chati.
Source:Most Famous Person 2013 Awards
Katika gazeti la mwananchi la tar.8/12 ukisoma ile habari ya MANDELA NA FAMILIA,imeandikwa kuwa mke wa kwanza aliachana na Mandela kwa kuwa yeye(mke) alikuwa ni "SHAHIDI WA YEHOVA",na kwamba mashahidi wa Yehova hawaoani na wanasiasa...vipi, tuamini kauli yako mkuu?
wewe dada ni fulu komedi, wanguzu wakikuambia ww ni mwanaume unakubali.....! lol, kwa akili zako unaamini mtu kama Helle Berry au Tiger Woods, ni maariufu kuliko mandela?