Mzee Mandela hakuwa anaamini ile dhana inayosema kuchapiwa ni siri ya ndani?

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,477
30,130
Dunia hivi sasa inaomboleza kifo cha Nelson Madiba Mandela, Rais wa kwanza mwafrika, kutawala nchi ya Afrika ya kusini, mtu ambaye ndiye anayeaminika kuwa, ndiyo binadamu maarufu kuliko yeyote katika watu wote walioishi karne hizi za 20 na 21.

Sifa kubwa anazopewa mzee wetu huyu aliyetutoka siku chache zilizopita, ni namna alivyokuwa na uwezo mkubwa wa kusamehe watu, hata wale walomfanyia makosa makubwa sana, ambayo katika hali ya ubinadamu wa kawaida ingekuwa vigumu mno kusamehe.

Vile vile mzee wetu huyo alikuwa na sifa kubwa ya kupenda upatanishi, mahali popote ambapo aliona kulikuwa na mafarakano, aidha kati ya mtu na mtu au hata kati ya kundi fulani la jamii na kundi jingine.Vile vile hakupenda kabisa,tabia ya ulipizaji wa visasi.

Hebu jaribu ku-imagine, mzee Mandela alikuwa na moyo wa aina gani, hata baada ya "kubambikiwa" kesi ya uhaini, kwa madai ya kuwa, alipanga njama za kuipindua serikali ya makaburu wa Afrika kusini, wakati katika hali halisi, yeye alichokuwa anakipigania ni kitu kimoja tu, kuwepo hali ya usawa, kati ya raia weupe na weusi ndani ya Afrika kusini.Jambo ambalo lilisababisha mahakama za enzi hizo za kikaburu, kumpata na hatia ya uhaini, na kuhukumiwa kifungo cha maisha.

Watu wengi sana, hasa wazungu makaburu wa Afrika kusini, walikuwa na hofu kubwa sana, baada ya mzee Mandela kutoka jela mwaka 1990, wakidhani kuwa mzee Mandela ataweza kuwalipizia kisasi, hasa atakapochaguliwa na kuwa mwafrika wa kwanza, kuliongoza Taifa hilo, lenye raia waliochanganyika rangi, kati ya weusi walio wengi na weupe walio wachache.

Hata hivyo, hali ilikuwa tofauti sana na kinyume cha makaburu walivyofikiria, baada ya Mandela kushinda uchaguzi wa vyama vingi, mwaka 1994, na kuliongoza Taifa hilo, lenye nguvu kubwa kiuchumi, kuliko Taifa lolote barani Afrika. Kwani badala ya kulipiza kisasi, hasa ikijulikana yeye wakati huo ndiye aliyekuwa Amiri jeshi mkuu, ambapo vyombo vyote vya ulinzi na usalama, vilikuwa chini yake,lakini mzee huyo hakuwalipizizia kisasi hata chembe "wabaya" wake makaburu, badala yake, wakati wote alikuwa akihubiri maridhiano, na kusameheana kwa yote yaliyopita, na badala yake, akafungua ukurasa mpya, kwa wananchi wa Taifa hilo, ambalo wananchi wake weupe na weusi, walikuwa wanaishi kwa uhasama wa hali ya juu, sasa wakaanza kuishi kwa kuelewana, na kuonyeshana upendo wa hali ya juu!!

Bara hili la Afrika, halijawahi kupata kiongozi, mwenye kujua kusamehe na kuwapenda adui zake, kama ambavyo aliweza kufanya mzee wetu huyo, ambaye dunia nzima, hivi sasa inazizima, kwa kuomboleza kifo chake.

Pamoja na sifa hiyo ya kipekee ya mzee Mandela, kuwasamehe wabaya wake, hata wale waliomfunga jela,kwa miaka 27, kwenye gereza la kutumikishwa kazi ngumu, za kuponda kokoto, gereza la Robben Island, na hata hao waliomfunga kwa "kumbambikia" makosa hayo ya uhaini/ugaidi, bado aliweza kuwasamehe!!

Hata hivyo, lipo eneo moja tu, ambalo mzee Mandela alishindwa kusamehe, na eneo hilo si lingine bali ni lile, alipopata ushahidi wa kutosha kuwa, wakati anatumikia kifungo jela, na hata baada ya kutoka jela, mkewe Winnie, alikuwa "akichapwa" na mwanasheria wao wa familia, jambo ambalo hatimaye, lilimlazimisha mzee wetu huyo, anayeheshimika sana duniani kwa uvumilivu wake, wa mambo makubwa yaliyomkumba maishani mwake, kutoweza kulivumilia hilo, hadi kusababisaha, kumpa talaka mkewe Winnie na kumwoa, mjane wa Samora Matchel, bi Graca Matchel!

Sasa hapo ndipo ninajiuliza, hivi mzee Mandela, hakuwa anaiamini falsafa ya mwanumuziki Richi Maboko, kuwa kuchapiwa ni siri ya ndani, ambapo wana ndoa, wanapaswa kuyamaliza wenyewe ndani, badala ya kuyatoa nje, na kuwapa faida walimwengu, ambao hayawahusu mambo hayo?!!

Naomba wadau, tulitafakari kwa makini suala hili,na kuchangia mawazo chanya.
 
Sasa hapo ndipo ninajiuliza, hivi mzee Mandela, hakuwa anaiamini falsafa ya mwanumuziki Richi Maboko, kuwa kuchapiwa ni siri ya ndani, ambapo wana ndoa, wanapaswa kuyamaliza wenyewe ndani, badala ya kuyatoa nje, na kuwapa faida walimwengu, ambao hayawahusu mambo hayo?!!

Naomba wadau, tulitafakari kwa makini suala hili,na kuchangia mawazo chanya.
Mwanandoa anapo cheat kuna kitu kimetrigger kufanya hivyo.

Kama mke penzi limekufa au mridhishi kimapenzi mwanchie aende zake. Kuliko kujaribu kuficha mambo na kuongeza geti wakati houseboy au dreva anaendelea kubandua.Wewe mtaani unatembea kifua mbele kumbe watu wanakusanifu!


Kwenye Dunia hii ya mtandao ni vigumu kuficha mambo lazima watu watajua tuu.

Mimi na amini kuwa open about inakuwa raisi ya wewe kumove on.

Kuhusu Mandela, Asingeweza kujua hayo mwenyewe wakati alikuwa ni mfungwa lazima aliambiwa na watu.Kumbuka siri ya watu wengi sio siri tena ukichukulia mtu maarufu kama yeye.Kama angefanya siri hao waliomwambia ndio wangekuwa wa kwanza kwenda kuandika vitabu.
 
Umeandika vizuri umeharibu ukipoweka mambo ya sijui rich maboko!!!mxxxxx
 
Kwa miaka 27 ata Winne sio wakulaumiwa!
Hapana,Winnie hana budi,abebe lawama kiasi fulani,kwa kuwa mzee Mandela baada ya kutoka Robben Island,na kuhamishiwa gereza lingine,alikuwa kwenye detention ya maVIP, ambapo mzee mzima,alikuwa hata anaruhusiwa hata ku=do na his wife.

Sasa Winnie alikuwa anatafuta nini tena,au alikuwa anataka, Serengeti boys,kama yule mbunge wa magamba wa TZ?!
 
Sasa hapo ndipo ninajiuliza, hivi mzee Mandela, hakuwa anaiamini falsafa ya mwanumuziki Richi Maboko, kuwa kuchapiwa ni siri ya ndani, ambapo wana ndoa, wanapaswa kuyamaliza wenyewe ndani, badala ya kuyatoa nje, na kuwapa faida walimwengu, ambao hayawahusu mambo hayo?!!

Mkuu, wewe ukichapiwa mkeo kwako poa tu au siyo?
 
Hata hivyo, lipo eneo moja tu, ambalo mzee Mandela alishindwa kusamehe, na eneo hilo si lingine bali ni lile, alipopata ushahidi wa kutosha kuwa, wakati anatumikia kifungo jela, na hata baada ya kutoka jela, mkewe Winnie, alikuwa "akichapwa" na mwanasheria wao wa familia, jambo ambalo hatimaye, lilimlazimisha mzee wetu huyo, anayeheshimika sana duniani kwa uvumilivu wake, wa mambo makubwa yaliyomkumba maishani mwake, kutoweza kulivumilia hilo, hadi kusababisaha, kumpa talaka mkewe Winnie na kumwoa, mjane wa Samora Matchel, bi Graca Matchel!
Sasa hapo ndipo ninajiuliza, hivi mzee Mandela, hakuwa anaiamini falsafa ya mwanumuziki Richi Maboko, kuwa kuchapiwa ni siri ya ndani, ambapo wana ndoa,
Naomba wadau, tulitafakari kwa makini suala hili,na kuchangia mawazo chanya.


Member wangu kuchangia suala hili mm naona wewe bado ni mdogo na ulikuwa hujazaliwa wakati Mandela anafunguliwa Jela ya Maisha February 11 1990Mawazo yangu ni HASI kuwa Winnie aliachika kwa ajili ya kuchapwa na Wakili wa Familia kwani kuna mengi

  • ni kwamba aliendelea kuishi na Winnie hadi mwaka 1993 alipompa Talaka
  • Winnie 1992 alikutikana na Kesi ya kumnyanyasa na kumuua kijana Stompie Moeketsie hapo alikuwa akiishi na Mandela na kesi kutetea na huyo Wakili
  • Winnie aliishi na Mandela maisha ya unyumba machache kuliko wote watatu kwani aliolewa 1958 na kupata watoto wawili tu wa kike nao ni Zenani Dlamini Mandela na Zinzi Mandela ambao kila mmoja alikuwa na watoto wanne
  • Evelyne Mase (1922-2004) alikuwa Mke wa Ndoa wa Mandela aliyempatia watoto wanne pia lakini waliishi miaka 13 (1944-1957) Madiba Mandela, Magkatho, Makaziwe (aliyefariki bado mdogo) na Makaziwe Amuah Mandela
  • Na huyu Grace Machel Samora kwa Ndoa ya 1998 (miaka 15)
  • fuatilia alikuwa na Mke mwingine aliyepewa ujanani na Mfalme Jongintaba
    http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Madiba-na-maisha-ya-kifamilia/-/1597296/2103564/-/70xr49z/-/index.html
    Baba yake Mandela alimwacha akiwa na miaka tisa baada ya kufariki mwaka 1927, baadaye alilelewa na Chifu Jongintaba kabla ya kutoroka baada ya kutaka kuozwa akiwa bado mdogo.


    Mandela ameishi na wake watatu katika maisha yake – EvelynMase, Winnie Madikizela na wa mwisho, Graca Machel alimuoa akiwa anatimiza miaka 80.


Hebu jaribu ku-imagine, mzee Mandela alikuwa na moyo wa aina gani, hata baada ya "kubambikiwa" kesi ya uhaini, kwa madai ya kuwa, alipanga njama za kuipindua serikali ya makaburu wa Afrika kusini, wakati katika hali halisi, yeye alichokuwa anakipigania ni kitu kimoja tu, kuwepo hali ya usawa, kati ya raia weupe na weusi ndani ya Afrika kusini.Jambo ambalo lilisababisha mahakama za enzi hizo za kikaburu, kumpata na hatia ya uhaini, na kuhukumiwa kifungo cha maisha.

Kuhusu Kesi ungefuatilia Documentary na History zake hata kwenye Wikipedia wamezungumzia
Hii Kesi inaiwa Rivonia Trial hata Magazeti ya kwetu km Mwananchi la 07, Disemba 2013 limezungumzia ambapo viongozi wa ANC walikamatwa
It was named after Rivonia, the suburb of Johannesburg where 19 ANC leaders were arrested at Liliesleaf Farm, privately owned by Arthur Goldreich, on 11 July 1963. It had been used as a hideout for the African National Congress. Among others, Nelson Mandela had moved onto the farm in October 1961 and evaded security police while masquerading as a gardener and cook called David Motsamayi (meaning "the walker").
Arrested were:

and others.
The ANC's leaders, including Nelson Mandela, who was already in Johannesburg's Fort prison serving a five-year sentence for inciting workers to strike and leaving the country illegally, were prosecuted, found guilty, and imprisoned. The apartheid regime's attack on the ANC's leadership and organizers continued with a trial known as Little Rivonia,
Itakumbukwa kwamba Nelson Mandela alitoroka Gerezani na kuja Tanzania, licha ya kuombwa na kina Nyerere asirudi huko watamkamata, bado alisisitiza ni lazima arudi.
alikamatwa tena na kufungwa miaka 3 wakati akiwa ndani silaha alizozifuata zikawasili na kukamatwa hivyo akatiwa hatiani kwa UHAINI na adhabu yake ni KIFO
The second indictment thus only listed 10 out of the original 11 names, referring to them as Accused 1 through 10.[SUP][7][/SUP]

  1. Nelson Mandela
  2. Walter Sisulu
  3. Denis Goldberg
  4. Govan Mbeki
  5. Ahmed Kathrada
  6. Lionel "Rusty" Bernstein (acquitted)
  7. Raymond Mhlaba
  8. James Kantor (acquitted)
  9. Elias Motsoaledi
  10. Andrew Mlangeni

  • Nakukumbusha kuwa 1952 alishtakiwa na ANC Chama chake kwa kuanzisha vurugu za ndani ya Chama wakati huo akiwa Wakili
Huyo ndiye Mandela ninayemsoma katika Vitabu, Wikipedia na Documentary ila fuatilia hata Link za Gazeti la Mwananchi utaamini kuwa sio Kuchapiwa ndiko kulikoleta TALAKA ya Winnie au Mzee Nelson alibambikiwa Kesi ya UHAINI ila ni kweli alikuwa na kikosi cha UMKHOTO WA SIZWE chenye silaha kali

 
Dunia hivi sasa inaomboleza kifo cha Nelson Madiba Mandela, Rais wa kwanza mwafrika, kutawala nchi ya Afrika ya kusini, mtu ambaye ndiye anayeaminika kuwa, ndiyo binadamu maarufu kuliko yeyote katika watu wote walioishi karne hizi za 20 na 21.

Sifa kubwa anazopewa mzee wetu huyu aliyetutoka siku chache zilizopita, ni namna alivyokuwa na uwezo mkubwa wa kusamehe watu, hata wale walomfanyia makosa makubwa sana, ambayo katika hali ya ubinadamu wa kawaida ingekuwa vigumu mno kusamehe.

Vile vile mzee wetu huyo alikuwa na sifa kubwa ya kupenda upatanishi, mahali popote ambapo aliona kulikuwa na mafarakano, aidha kati ya mtu na mtu au hata kati ya kundi fulani la jamii na kundi jingine.Vile vile hakupenda kabisa,tabia ya ulipizaji wa visasi.

Hebu jaribu ku-imagine, mzee Mandela alikuwa na moyo wa aina gani, hata baada ya "kubambikiwa" kesi ya uhaini, kwa madai ya kuwa, alipanga njama za kuipindua serikali ya makaburu wa Afrika kusini, wakati katika hali halisi, yeye alichokuwa anakipigania ni kitu kimoja tu, kuwepo hali ya usawa, kati ya raia weupe na weusi ndani ya Afrika kusini.Jambo ambalo lilisababisha mahakama za enzi hizo za kikaburu, kumpata na hatia ya uhaini, na kuhukumiwa kifungo cha maisha.

Watu wengi sana, hasa wazungu makaburu wa Afrika kusini, walikuwa na hofu kubwa sana, baada ya mzee Mandela kutoka jela mwaka 1990, wakidhani kuwa mzee Mandela ataweza kuwalipizia kisasi, hasa atakapochaguliwa na kuwa mwafrika wa kwanza, kuliongoza Taifa hilo, lenye raia waliochanganyika rangi, kati ya weusi walio wengi na weupe walio wachache.

Hata hivyo, hali ilikuwa tofauti sana na kinyume cha makaburu walivyofikiria, baada ya Mandela kushinda uchaguzi wa vyama vingi, mwaka 1994, na kuliongoza Taifa hilo, lenye nguvu kubwa kiuchumi, kuliko Taifa lolote barani Afrika. Kwani badala ya kulipiza kisasi, hasa ikijulikana yeye wakati huo ndiye aliyekuwa Amiri jeshi mkuu, ambapo vyombo vyote vya ulinzi na usalama, vilikuwa chini yake,lakini mzee huyo hakuwalipizizia kisasi hata chembe "wabaya" wake makaburu, badala yake, wakati wote alikuwa akihubiri maridhiano, na kusameheana kwa yote yaliyopita, na badala yake, akafungua ukurasa mpya, kwa wananchi wa Taifa hilo, ambalo wananchi wake weupe na weusi, walikuwa wanaishi kwa uhasama wa hali ya juu, sasa wakaanza kuishi kwa kuelewana, na kuonyeshana upendo wa hali ya juu!!

Bara hili la Afrika, halijawahi kupata kiongozi, mwenye kujua kusamehe na kuwapenda adui zake, kama ambavyo aliweza kufanya mzee wetu huyo, ambaye dunia nzima, hivi sasa inazizima, kwa kuomboleza kifo chake.

Pamoja na sifa hiyo ya kipekee ya mzee Mandela, kuwasamehe wabaya wake, hata wale waliomfunga jela,kwa miaka 27, kwenye gereza la kutumikishwa kazi ngumu, za kuponda kokoto, gereza la Robben Island, na hata hao waliomfunga kwa "kumbambikia" makosa hayo ya uhaini/ugaidi, bado aliweza kuwasamehe!!

Hata hivyo, lipo eneo moja tu, ambalo mzee Mandela alishindwa kusamehe, na eneo hilo si lingine bali ni lile, alipopata ushahidi wa kutosha kuwa, wakati anatumikia kifungo jela, na hata baada ya kutoka jela, mkewe Winnie, alikuwa "akichapwa" na mwanasheria wao wa familia, jambo ambalo hatimaye, lilimlazimisha mzee wetu huyo, anayeheshimika sana duniani kwa uvumilivu wake, wa mambo makubwa yaliyomkumba maishani mwake, kutoweza kulivumilia hilo, hadi kusababisaha, kumpa talaka mkewe Winnie na kumwoa, mjane wa Samora Matchel, bi Graca Matchel!

Sasa hapo ndipo ninajiuliza, hivi mzee Mandela, hakuwa anaiamini falsafa ya mwanumuziki Richi Maboko, kuwa kuchapiwa ni siri ya ndani, ambapo wana ndoa, wanapaswa kuyamaliza wenyewe ndani, badala ya kuyatoa nje, na kuwapa faida walimwengu, ambao hayawahusu mambo hayo?!!

Naomba wadau, tulitafakari kwa makini suala hili,na kuchangia mawazo chanya.

Una akili kama za Mwigulu.
... yaani umepoteza muda woote kuandika ----- mtupu.
 
Wewe na ukimwi wote huu ulitaka Mzee aendelee kuchovya wakati anachapiwa nje na Vijana? Ulitaka afe kwa umeme
 
Alaf inaelekea umekaririshwa PICHA,We kila kitu Picha,picha. Pu.....mbaaaaaaaaaa.........ffffffffff
 
Dunia hivi sasa inaomboleza kifo cha Nelson Madiba Mandela, Rais wa kwanza mwafrika, kutawala nchi ya Afrika ya kusini, mtu ambaye ndiye anayeaminika kuwa, ndiyo binadamu maarufu kuliko yeyote katika watu wote walioishi karne hizi za 20 na 21.

Nimetembelea list zote za watu mashuhuri duniani nilizoweza kuzipata kwenye mtandao sijaona kuwa Mandela ndiye binaadam maarufu duniani. Hajashika namba moja kwenye list yoyote ile.

Nimeona list moja ametajwa Michael Jackson. List nyingine Sir Isaac Newton. Nyingine Marilyn Monroe. Mandela hayumo katika namba moja.

Kwanini uzuwe?
 
Dunia hivi sasa inaomboleza kifo cha Nelson Madiba Mandela, Rais wa kwanza mwafrika, kutawala nchi ya Afrika ya kusini, mtu ambaye ndiye anayeaminika kuwa, ndiyo binadamu maarufu kuliko yeyote katika watu wote walioishi karne hizi za 20 na 21.

Sifa kubwa anazopewa mzee wetu huyu aliyetutoka siku chache zilizopita, ni namna alivyokuwa na uwezo mkubwa wa kusamehe watu, hata wale walomfanyia makosa makubwa sana, ambayo katika hali ya ubinadamu wa kawaida ingekuwa vigumu mno kusamehe.

Vile vile mzee wetu huyo alikuwa na sifa kubwa ya kupenda upatanishi, mahali popote ambapo aliona kulikuwa na mafarakano, aidha kati ya mtu na mtu au hata kati ya kundi fulani la jamii na kundi jingine.Vile vile hakupenda kabisa,tabia ya ulipizaji wa visasi.

Hebu jaribu ku-imagine, mzee Mandela alikuwa na moyo wa aina gani, hata baada ya "kubambikiwa" kesi ya uhaini, kwa madai ya kuwa, alipanga njama za kuipindua serikali ya makaburu wa Afrika kusini, wakati katika hali halisi, yeye alichokuwa anakipigania ni kitu kimoja tu, kuwepo hali ya usawa, kati ya raia weupe na weusi ndani ya Afrika kusini.Jambo ambalo lilisababisha mahakama za enzi hizo za kikaburu, kumpata na hatia ya uhaini, na kuhukumiwa kifungo cha maisha.

Watu wengi sana, hasa wazungu makaburu wa Afrika kusini, walikuwa na hofu kubwa sana, baada ya mzee Mandela kutoka jela mwaka 1990, wakidhani kuwa mzee Mandela ataweza kuwalipizia kisasi, hasa atakapochaguliwa na kuwa mwafrika wa kwanza, kuliongoza Taifa hilo, lenye raia waliochanganyika rangi, kati ya weusi walio wengi na weupe walio wachache.

Hata hivyo, hali ilikuwa tofauti sana na kinyume cha makaburu walivyofikiria, baada ya Mandela kushinda uchaguzi wa vyama vingi, mwaka 1994, na kuliongoza Taifa hilo, lenye nguvu kubwa kiuchumi, kuliko Taifa lolote barani Afrika. Kwani badala ya kulipiza kisasi, hasa ikijulikana yeye wakati huo ndiye aliyekuwa Amiri jeshi mkuu, ambapo vyombo vyote vya ulinzi na usalama, vilikuwa chini yake,lakini mzee huyo hakuwalipizizia kisasi hata chembe "wabaya" wake makaburu, badala yake, wakati wote alikuwa akihubiri maridhiano, na kusameheana kwa yote yaliyopita, na badala yake, akafungua ukurasa mpya, kwa wananchi wa Taifa hilo, ambalo wananchi wake weupe na weusi, walikuwa wanaishi kwa uhasama wa hali ya juu, sasa wakaanza kuishi kwa kuelewana, na kuonyeshana upendo wa hali ya juu!!

Bara hili la Afrika, halijawahi kupata kiongozi, mwenye kujua kusamehe na kuwapenda adui zake, kama ambavyo aliweza kufanya mzee wetu huyo, ambaye dunia nzima, hivi sasa inazizima, kwa kuomboleza kifo chake.

Pamoja na sifa hiyo ya kipekee ya mzee Mandela, kuwasamehe wabaya wake, hata wale waliomfunga jela,kwa miaka 27, kwenye gereza la kutumikishwa kazi ngumu, za kuponda kokoto, gereza la Robben Island, na hata hao waliomfunga kwa "kumbambikia" makosa hayo ya uhaini/ugaidi, bado aliweza kuwasamehe!!

Hata hivyo, lipo eneo moja tu, ambalo mzee Mandela alishindwa kusamehe, na eneo hilo si lingine bali ni lile, alipopata ushahidi wa kutosha kuwa, wakati anatumikia kifungo jela, na hata baada ya kutoka jela, mkewe Winnie, alikuwa "akichapwa" na mwanasheria wao wa familia, jambo ambalo hatimaye, lilimlazimisha mzee wetu huyo, anayeheshimika sana duniani kwa uvumilivu wake, wa mambo makubwa yaliyomkumba maishani mwake, kutoweza kulivumilia hilo, hadi kusababisaha, kumpa talaka mkewe Winnie na kumwoa, mjane wa Samora Matchel, bi Graca Matchel!

Sasa hapo ndipo ninajiuliza, hivi mzee Mandela, hakuwa anaiamini falsafa ya mwanumuziki Richi Maboko, kuwa kuchapiwa ni siri ya ndani, ambapo wana ndoa, wanapaswa kuyamaliza wenyewe ndani, badala ya kuyatoa nje, na kuwapa faida walimwengu, ambao hayawahusu mambo hayo?!!

Naomba wadau, tulitafakari kwa makini suala hili,na kuchangia mawazo chanya.

Mkuu Madiba angeishi Tanzania, asikaa apate heshima hiyo kwani alikuwa mdhaifu sna kwa wanawake!!!! Binnti yake kwa mkewa kwanza hadi sasa ana mlaani sana kwa kitendo cha kumwacha mama yao...ilhali nie aliempa Mandela hela za kusomea digrii ya sheria kwa miaka mitatu!! Mtoto wa Madiba anasema aliambiwa na mama yake kuwa baba yake alimwacha kwakuwa anapemda sana mademu wazuri..alimwona yeye (mke wa kwanza) kazeeka!! Ingekuwa TZ..aah!! angeshikishwa adabu na wana CCM...abao wako bize na ku link matatizo ya ndoa za viongozi na uwezo wao wa kungoza!!
 
Hapana,Winnie hana budi,abebe lawama kiasi fulani,kwa kuwa mzee Mandela baada ya kutoka Robben Island,na kuhamishiwa gereza lingine,alikuwa kwenye detention ya maVIP, ambapo mzee mzima,alikuwa hata anaruhusiwa hata ku=do na his wife.

Sasa Winnie alikuwa anatafuta nini tena,au alikuwa anataka, Serengeti boys,kama yule mbunge wa magamba wa TZ?!
From religious perspectives,Winne ametenda kosa kubwa but if you look at it as human being sio kosa.
Binadamu tuna mapungufu yetu,kuna vitu ambavyo hatuwezi kuvicontrol hasa vijana.

Kutoka na maandiko yako utakuwa unakubaliana na mimi kwamba Winnie asingeweza kujizua kwa muda wote huo.Sasa kama ameshindwa hilo kwanini aweze kuuzuia moyo wake kutobadilika kimapenzi?

Hatuwezi kujua nini kilitokea baada ya Mandela kuwa on house arrest labda Winnie alimweleza kwamba penzi limekufa.
 
Nimetembelea list zote za watu mashuhuri duniani nilizoweza kuzipata kwenye mtandao sijaona kuwa Mandela ndiye binaadam maarufu duniani. Hajashika namba moja kwenye list yoyote ile.

Nimeona list moja ametajwa Michael Jackson. List nyingine Sir Isaac Newton. Nyingine Marilyn Monroe. Mandela hayumo katika namba moja.

Kwanini uzuwe?
Huo ni mtazamo wako,hivi unaweza kumlinganisha Mandela na yule mchonga pua,kwa plastic surgery,kwa ajili ya kuutafuta uzungu kwa nguvu,Michael Jackson?!

Kama Mandela hakuwa maarufu,ni kwa nini basi hivi sasa,vyombo vya habari hivi sasa vinabashiri kuwa,mazishi yake yanaelekea ndiyo yatakayovunja record,kwa kuhudhuriwa na watu webfoot maarufu,yakiyazidi hata yale ya Pope John Paul wa pili na yale ya Churchil,mazishi ambayo,ndiyo yanasemekana kuwa ndiyo mazishi yaliyohudhuriwa na watu wengi zaidi,kuliko mazishi ya binadamu mwingine yeyote katika karne iliyopita ya 20 na karne tunayoendelea nayo ya 21.
 
Dunia hivi sasa inaomboleza kifo cha Nelson Madiba Mandela, Rais wa kwanza mwafrika, kutawala nchi ya Afrika ya kusini, mtu ambaye ndiye anayeaminika kuwa, ndiyo binadamu maarufu kuliko yeyote katika watu wote walioishi karne hizi za 20 na 21.

Sifa kubwa anazopewa mzee wetu huyu aliyetutoka siku chache zilizopita, ni namna alivyokuwa na uwezo mkubwa wa kusamehe watu, hata wale walomfanyia makosa makubwa sana, ambayo katika hali ya ubinadamu wa kawaida ingekuwa vigumu mno kusamehe.

Vile vile mzee wetu huyo alikuwa na sifa kubwa ya kupenda upatanishi, mahali popote ambapo aliona kulikuwa na mafarakano, aidha kati ya mtu na mtu au hata kati ya kundi fulani la jamii na kundi jingine.Vile vile hakupenda kabisa,tabia ya ulipizaji wa visasi.

Hebu jaribu ku-imagine, mzee Mandela alikuwa na moyo wa aina gani, hata baada ya "kubambikiwa" kesi ya uhaini, kwa madai ya kuwa, alipanga njama za kuipindua serikali ya makaburu wa Afrika kusini, wakati katika hali halisi, yeye alichokuwa anakipigania ni kitu kimoja tu, kuwepo hali ya usawa, kati ya raia weupe na weusi ndani ya Afrika kusini.Jambo ambalo lilisababisha mahakama za enzi hizo za kikaburu, kumpata na hatia ya uhaini, na kuhukumiwa kifungo cha maisha.

Watu wengi sana, hasa wazungu makaburu wa Afrika kusini, walikuwa na hofu kubwa sana, baada ya mzee Mandela kutoka jela mwaka 1990, wakidhani kuwa mzee Mandela ataweza kuwalipizia kisasi, hasa atakapochaguliwa na kuwa mwafrika wa kwanza, kuliongoza Taifa hilo, lenye raia waliochanganyika rangi, kati ya weusi walio wengi na weupe walio wachache.

Hata hivyo, hali ilikuwa tofauti sana na kinyume cha makaburu walivyofikiria, baada ya Mandela kushinda uchaguzi wa vyama vingi, mwaka 1994, na kuliongoza Taifa hilo, lenye nguvu kubwa kiuchumi, kuliko Taifa lolote barani Afrika. Kwani badala ya kulipiza kisasi, hasa ikijulikana yeye wakati huo ndiye aliyekuwa Amiri jeshi mkuu, ambapo vyombo vyote vya ulinzi na usalama, vilikuwa chini yake,lakini mzee huyo hakuwalipizizia kisasi hata chembe "wabaya" wake makaburu, badala yake, wakati wote alikuwa akihubiri maridhiano, na kusameheana kwa yote yaliyopita, na badala yake, akafungua ukurasa mpya, kwa wananchi wa Taifa hilo, ambalo wananchi wake weupe na weusi, walikuwa wanaishi kwa uhasama wa hali ya juu, sasa wakaanza kuishi kwa kuelewana, na kuonyeshana upendo wa hali ya juu!!

Bara hili la Afrika, halijawahi kupata kiongozi, mwenye kujua kusamehe na kuwapenda adui zake, kama ambavyo aliweza kufanya mzee wetu huyo, ambaye dunia nzima, hivi sasa inazizima, kwa kuomboleza kifo chake.

Pamoja na sifa hiyo ya kipekee ya mzee Mandela, kuwasamehe wabaya wake, hata wale waliomfunga jela,kwa miaka 27, kwenye gereza la kutumikishwa kazi ngumu, za kuponda kokoto, gereza la Robben Island, na hata hao waliomfunga kwa "kumbambikia" makosa hayo ya uhaini/ugaidi, bado aliweza kuwasamehe!!

Hata hivyo, lipo eneo moja tu, ambalo mzee Mandela alishindwa kusamehe, na eneo hilo si lingine bali ni lile, alipopata ushahidi wa kutosha kuwa, wakati anatumikia kifungo jela, na hata baada ya kutoka jela, mkewe Winnie, alikuwa "akichapwa" na mwanasheria wao wa familia, jambo ambalo hatimaye, lilimlazimisha mzee wetu huyo, anayeheshimika sana duniani kwa uvumilivu wake, wa mambo makubwa yaliyomkumba maishani mwake, kutoweza kulivumilia hilo, hadi kusababisaha, kumpa talaka mkewe Winnie na kumwoa, mjane wa Samora Matchel, bi Graca Matchel!

Sasa hapo ndipo ninajiuliza, hivi mzee Mandela, hakuwa anaiamini falsafa ya mwanumuziki Richi Maboko, kuwa kuchapiwa ni siri ya ndani, ambapo wana ndoa, wanapaswa kuyamaliza wenyewe ndani, badala ya kuyatoa nje, na kuwapa faida walimwengu, ambao hayawahusu mambo hayo?!!

Naomba wadau, tulitafakari kwa makini suala hili,na kuchangia mawazo chanya.

Angekuwa mtu wa kawaida hali ingekuwa mbaya sana kwa mkewe na mgoni wake! HEBU VUTA PICHA KWAMBA NI WEWE, HALAFU, PAMOJA NA KUWA NA 'ABSOLUTE POWER', BADO MKEO ANAENDELEZA LIBENEKE CHINI TU YA PUA YAKO....................................!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom