OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
wadau!
Naomba kufahamishwa,ukijaribu kuangalia kwa makini utaona kama mandela alikuw akitumia mashine za kumfnya aweze kusikia,sasa nnacho jiuliza ni mashine za kumwezesha kusikia au zina maana ingne?na je kama ni mashine hili tatzo alianza nalo toka akiwa mdogo?au ni baada ya yeye kuuguwa ndo na masikio yakaanza kumletea nayo shida,naamin kuna wadau watakuw wanalifahm hili naomba kujuzwa
Naomba kufahamishwa,ukijaribu kuangalia kwa makini utaona kama mandela alikuw akitumia mashine za kumfnya aweze kusikia,sasa nnacho jiuliza ni mashine za kumwezesha kusikia au zina maana ingne?na je kama ni mashine hili tatzo alianza nalo toka akiwa mdogo?au ni baada ya yeye kuuguwa ndo na masikio yakaanza kumletea nayo shida,naamin kuna wadau watakuw wanalifahm hili naomba kujuzwa