Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
I now believe why Tanzania imports "Human resources" we have absolete
umeenda ndivyo sivyo... si kila atoae mchango anatoka jimbo la huyu kibabu; watanzania wana haki ya kuweka wazi mitazamo... mimi kama kijana nitamsapoti atakaechkua fomu kumpinga babu
kuhusu importation ya human resources, name one country in this universe ambayo hai-import human resources, surprisingly unwezekana hata wewe ni imported human resources kwenye nchi ya watu.. sas hebu fikiria ulivyo obsolete bado mtu anakulipa mshahara.,... na kama upo hapa nchini haiyumkini utakuwa serikalini... obsolete as well!!!!!!!!