Mzee Makamba: Rais Magufuli Amefanana na Yohana Mbatizaji.

Don san tan

JF-Expert Member
May 23, 2015
562
433
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama cha Mapinduzi na Mkuu wa Mkoa
wa Dar es salaam Mzee Yusufu Makamba asema Rais Magufuli anafanana na Yohana Mbatizaji kwa vile ni kiongozi anayefanyakazi bila kuogopa.

Makamba ametoa kauli hiyo leo kwa njia ya simu katika mahojiano maalum na
Mwandishi wa habari hizi. Alisema kuwa Rais ni kiongozi mchapakazi ambaye hayumbushwi na maneno wala vitisho kwa vile anasema ukweli katika kutekeleza majukumu yake.

“Yohana Mbatizaji alisema ukweli na hakutikiswa na upepo, hakuogopa macho ya watu wala hakuwa mtu wa majigambo, kama ilivyoandikwa katika
Biblia Takatifu Marko 6:12, na hivyo ndiyo navyomfananisha Rais wetu Magufuli na viongozi wote tumuunge mkono” alisema Makamba.

UKAWA mnasemaje!????????
 
Yohana mbatizaji alikufa kwa amri ya herode kwa kukatwa kichwa sasa na huyu tuliambiwa hatafikia uchaguzi ujao em tusubiri nani wa kumkata kichwa.
Ukawa wote tuna Uwezo wa kuwatia Lupango mkanyee Debe. Na wewe endelea kuota ndoto za kupuuzi. Kukaa Lema Lupango liwe fundisho kwa watu wote wenye Tabia kama yake. Mkuu bado hujapata fundisho? Maana naona na wewe unataka kuleta Ndoto yako hapa. Utafungwa wewe shauri yako bwana.
 
yusuf-makamba.jpg



Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama cha Mapinduzi na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mzee Yusufu Makamba asema Rais Magufuli anafanana na Yohana Mbatizaji kwa vile ni kiongozi anayefanyakazi bila kuogopa.

Makamba ametoa kauli hiyo leo kwa njia ya simu katika mahojiano maalum na Mwandishi wa habari hizi. Alisema kuwa Rais ni kiongozi mchapakazi ambaye hayumbushwi na maneno wala vitisho kwa vile anasema ukweli katika kutekeleza majukumu yake.

Yohana Mbatizaji alisema ukweli na hakutikiswa na upepo, hakuogopa macho ya watu wala hakuwa mtu wa majigambo, kama ilivyoandikwa katika Biblia Takatifu Marko 6:12, na hivyo ndiyo navyomfananisha Rais wetu Magufuli na viongozi wote tumuunge mkono” alisema Makamba.

Aidha, kuhusu miaka 55 ya Uhuru , alisema kuwa ni vyema Watanzania wakazingatia wito wa uhuru ni kazi, na kwa kuwa Serikali hii imeweka mkazo katika ufanyaji kazi.

Makamba alisema kuwa katika Awamu hii ya HAPAKAZI TU, inaakisi wito wa Uhuru katika vipindi mbalimbali kuanzia kipindi cha Uhuru ni kazi na Uhuru na kazi mara baada ya kupatikana kwa Uhuru na kuwakumbusha watanzania kuulinda Uhuru.

“Ni lazima kuulinda Uhuru kwa gharama yeyote ili amani na mshikamano uendelee kuwepo basi hatuna budii kuepuka lugha zenye maneno ya uchochezi, ukabila na udini” alisema Makamba
 
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Mstaafu wa
Chama cha Mapinduzi na Mkuu wa Mkoa
wa Dar es salaam Mzee Yusufu
Makamba asema Rais Magufuli
anafanana na Yohana Mbatizaji kwa vile
ni kiongozi anayefanyakazi bila
kuogopa.
Makamba ametoa kauli hiyo leo kwa njia
ya simu katika mahojiano maalum na
Mwandishi wa habari hizi. Alisema
kuwa Rais ni kiongozi mchapakazi
ambaye hayumbushwi na maneno wala
vitisho kwa vile anasema ukweli katika
kutekeleza majukumu yake.
“Yohana Mbatizaji alisema ukweli na
hakutikiswa na upepo, hakuogopa
macho ya watu wala hakuwa mtu wa
majigambo, kama ilivyoandikwa katika
Biblia Takatifu Marko 6:12, na hivyo
ndiyo navyomfananisha Rais wetu
Magufuli na viongozi wote tumuunge
mkono” alisema Makamba.

UKAWA mnasemaje!????????

Makamba yupo sawa kabisa. Huu utawala wapo hadi waliojifananisha na Mungu itakuwa huyu Makamba kumfananisha Magufuli na Yohane Mbatizaji?

Nasubiri kujua ni nani kwenye utawala huu atakayejifananisha na Yesu Kristo Mnazarethi maana Mungu na Yohane mbatizaji wameshajulikana wanaojifananisha nao.
 
Yohana Mbatizaji alisafisha njia kwa ajae, sasa mzee Makamba anataka kutuambia rais Magufuli anasafisha njia kwa ajae 2020, je huyo ni December au February?
 
Yohana Mbatizaji alisafisha njia kwa ajae, sasa mzee Makamba anataka kutuambia rais Magufuli anasafisha njia kwa ajae 2020, je huyo ni December au February?
Hata shetani anaijua bible.Ndio maana alkukuwa akimjaribu yesu kwa kuanza Na neno "imeandikwa".Hawa viongozu wetu ni hopeless kabisa.Wanaficha maovu yako kwenye mwavuli wa dini.
 
Magufuli ni kiongozi aliyetukuka hakubali kuyumbishwa ni kweli anachosema makamba kwa kumfananisha magufuli kwa utashi wa kutoogopa mtu.
 
Back
Top Bottom