Utopologist
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 987
- 2,487
Mkuu hii inside info ulishatudokeza
Unastahili medali
Unastahili medali
Mzungu pori kawashika pabaya uko!!View attachment 1948482
"Haiwezekani Mwanachama wa Simba aje afanye kazi Yanga haya ni mambo ya kijinga mwenendo wa timu sio mzuri, Sisi wazee wa Yanga hatuna imani na uongozi wa timu yetu
We ulishawahi kuona wapi Mwanachama wa Simba afanye kazi na Yanga, Sisi tunampenda Manara kwasababu ya Baba yake tu ila hatumpendi yeye mwenyewe viongozi wasituzingue wastuletee upumbavu timu sio yao pekeyao wanafanya maamuzi pekeyao
Maneno ya Mzee MAGOMA mzee kutoka baraza la wazee la Yanga alipohojiwa na EFM hata hivyo bado akiwa anaongea Maulidi Kitenge alimua kumkatia simu maana alikuwa akiongea kwa jazba sana.
My Take
Naungana na wazee wa Yanga kuhusu Tamko. Yanga inahujumiwa
😂 😂 😂atakula wapi sasa
Kwa katiba ya sasa ya Yanga iliyobadilishwa juzi na mkutano mkuu hili baraza halipo na halitambuliki ni kama kijiwe tu cha kahawa.
Hahahahaha 😂 😂 😂 Ameondoka klabuni lakini anaendelea kuishi kumkichwa.Mzungu pori kawashika pabaya uko!!
Kipindi Mauya ananyoosha ule muwa, wazee wa msimbazi walikuwa na furaha?Nyie Uto wazee wakikasirika kwenye Darby amtoki.
😂 😂Hapo hata Mia ajatoa
Mwanaume hana kichogo na ana kidoti basi elewa kuwa hamna kitu hapoKitenge mpuuzi sana
Hana manners - ushabiki tu
Hivi wale walio msomea dua ni wazee wa wapi?View attachment 1948482
"Haiwezekani Mwanachama wa Simba aje afanye kazi Yanga haya ni mambo ya kijinga mwenendo wa timu sio mzuri, Sisi wazee wa Yanga hatuna imani na uongozi wa timu yetu
We ulishawahi kuona wapi Mwanachama wa Simba afanye kazi na Yanga, Sisi tunampenda Manara kwasababu ya Baba yake tu ila hatumpendi yeye mwenyewe viongozi wasituzingue wastuletee upumbavu timu sio yao pekeyao wanafanya maamuzi pekeyao
Maneno ya Mzee MAGOMA mzee kutoka baraza la wazee la Yanga alipohojiwa na EFM hata hivyo bado akiwa anaongea Maulidi Kitenge alimua kumkatia simu maana alikuwa akiongea kwa jazba sana.
My Take
Naungana na wazee wa Yanga kuhusu Tamko. Yanga inahujumiwa
Na hata ile ya kufukuzwa nugaz niliipata hapa kwake mkuu Gentamycin au ukipenda mwite Mightier before kutangaziwa umma,, na hata ule usaliti wa msukule alianza kuuanika hapa kabla hata ya sie wengine kujua tukawa tunamuona kama mo na babra wanamuonea wivu msukule kumbe kweli mnafiki. Kiukweli pamoja na gubu lake huyu bwana mkubwa ila anastaili sanamu pale bunju,,,Mkuu hii inside info ulishatudokeza
Unastahili medali
Ashaanza kulia huko Instagram anatafuta uungwaji mko na wana utopolo huko"Yanga SC ikifungwa na Simba SC Jumamosi Viongozi wa watatuambia ni kwanini wamemleta Mtu Mnafiki, Msaliti na Muongo Haji Manara ndani ya Klabu yetu".
Chanzo: Sports Headquarters EFM leo
Safi sana Magoma lianzishe na piganeni.
Si huwa mnadhania Mightier ninazusha?Mkuu hii inside info ulishatudokeza
Unastahili medali
Hao ni uto mkuuSi huwa mnadhania Mightier ninazusha?