Mzee Madiba alipowekwa gerezani na utawala wa Kikaburu aliwatia moyo wananchi Lema anawatia moyo

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Anaandika Comred Malisa Godlisten

Mzee Madiba alipowekwa gerezani na utawala wa Kikaburu aliwatia moyo wananchi wa Afrika Kusini kwa kuwaambia "The battle is not over". Yani pamoja na kufungwa kwangu, msife moyo endelezeni mapambano. Lema anatoka mahakamani juzi anawatia moyo wananchi wa Arusha maneno kama yale ya Madiba. Anawaambia "Kuweni na moyo mkuu msiogope". Inaumiza, inasikitisha, inatia hasira. Hasa ukifikiria kwamba haya yanafanyika katika nchi huru, bora Madiba alifanyiwa wakati wa ukoloni. Na hapa ndipo napokumbuka maneno ya Julius Malema kwamba "Not yet Uhuru". [HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG].!
 

Attachments

  • tmp_13816-VID-20161122-WA0058-587840485.mp4
    12.1 MB · Views: 33
Anaandika Comred Malisa Godlisten

Mzee Madiba alipowekwa gerezani na utawala wa Kikaburu aliwatia moyo wananchi wa Afrika Kusini kwa kuwaambia "The battle is not over". Yani pamoja na kufungwa kwangu, msife moyo endelezeni mapambano. Lema anatoka mahakamani juzi anawatia moyo wananchi wa Arusha maneno kama yale ya Madiba. Anawaambia "Kuweni na moyo mkuu msiogope". Inaumiza, inasikitisha, inatia hasira. Hasa ukifikiria kwamba haya yanafanyika katika nchi huru, bora Madiba alifanyiwa wakati wa ukoloni. Na hapa ndipo napokumbuka maneno ya Julius Malema kwamba "Not yet Uhuru". [HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG].!

Madiba aliwekwa ndani kwa kupigania uhuru wa SA huyu Lema katiwa ndani kwa sababu ya matusi yake ni vitu viwili tofauti na huwezi kuwalinganisha hao wawili
 
Nenda kamwambie Malisa aache upuuzi Madiba aliwekwa ndani kwa kupigania uhuru wa SA huyu Lema katiwa ndani kwa sababu ya matusi yake ni vitu viwili tofauti na huwezi kuwalinganisha hao wawili

Kitu kimoja ambacho rais anafikiri yeye ni Mungu na kwasababu amefikiri yeye ni Mungu, basi Mungu atasitisha maisha yake kabla ya Uchaguzi wa 2020".Godblesss Lema
 
Kuna ukingo mkubwa sana unaotenganisha baina ya Madiba na Lema

Madiba hajawahi kutuhumiwa kwa ubakaji. Lema aliwahi kutuhumiwa kumbaka Flora Lymo huko Uingereza.

Madiba hajawahi kutuhumiwa kwa ujambazi. Lema ni mtuhumiwa wa ujambazi wa kutumia silaha akijihusisha na wizi wa Magari.
 
Anaandika Comred Malisa Godlisten

Mzee Madiba alipowekwa gerezani na utawala wa Kikaburu aliwatia moyo wananchi wa Afrika Kusini kwa kuwaambia "The battle is not over". Yani pamoja na kufungwa kwangu, msife moyo endelezeni mapambano. Lema anatoka mahakamani juzi anawatia moyo wananchi wa Arusha maneno kama yale ya Madiba. Anawaambia "Kuweni na moyo mkuu msiogope". Inaumiza, inasikitisha, inatia hasira. Hasa ukifikiria kwamba haya yanafanyika katika nchi huru, bora Madiba alifanyiwa wakati wa ukoloni. Na hapa ndipo napokumbuka maneno ya Julius Malema kwamba "Not yet Uhuru". [HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG].!

Labda anawatia moyo Mashoga Wenzie wa ufipa na Arusha.

NB: mashoga kwa tafsiri ya mke wa Lema bi. Neema ni Marafiki

 
Kitu kimoja ambacho rais anafikiri yeye ni Mungu na kwasababu amefikiri yeye ni Mungu, basi Mungu atasitisha maisha yake kabla ya Uchaguzi wa 2020".Godblesss Lema
Hayo sio maneno ya Godless Lema, hana haya ujasiri wa kukiri ni maneno yake...ameishia kudai ni ndoto....
Kamchezo ka kudai "ndoto" kalianza baada ya kuundwa kwa cryber crimes law. Sasa imekula kwake sijaona jamaa muoga kama huyu anataka watu tufuate ndoto zake za usingizini...
 
Lema anashindwa kuwapigania wapiga kura wake wapate Maji safi, elimu bora na Afya bora. Unawezaje kumfananisha na Mandela!? What a joke!
Ha ha ha Lema anapigania ndoto ya kifo cha Magufuli...

Kuna wanasiasa walikuwa wana njozi za mbali...kina Martin Luther King... " I have a dream....."
Sasa hili chaka la ndoto ya Lema imegeuka kuwa jinamizi la binafsi.
 
Ila kikweli mim nilikuwa mkereketwa mkubwa sana wa chadema kutokana na kile walichokuwa wakinena kuhusu wizi na matatizo mengi ya kiutendaji katika serikali lakin baada ya huyu magufuri kufanya yaliyokuwa upande wao sina tena sababu ya kuendelea kuwa huko na sipo katika chama chochote cha siasa, sijui hata chadema wanachohangaikia ni nini hasa huyu lema. Ukihangaika na haya mavyama ukasahau haya mambo yana msimu utaonekana wa ajabu sana. Na kingine kinachokatisha moyo ni huyu mwenyekiti wa chadema taifa namwona ni mtu mjanja mjanja sana ni kitu kibaya sana kwa mwenyekiti kuwa na vituhuma vya uwizi uwizi na ujana ujanja.hapa ndipo ninapomwelewa zitto kabwe juu ya zile tuhuma za mbowe na nimrodi mkono na majibu yaliyotolewa kwamba zitto asiibue tuhuma mpya ajibu tuhuma zake: haya ni majibu ya hovyo kabisa kwa mwanasias anayetegemea uungwaji mkono kutoka kwa watu.
 
Acheni kumfananisha Mzee Madiba na vitu visivyoeleweka vinatafuta nini huko ni kumdhalilisha Mzee Mandela.

Kuweni na heshima kwa hawa wazee wetu.
Anaandika Comred Malisa Godlisten

Mzee Madiba alipowekwa gerezani na utawala wa Kikaburu aliwatia moyo wananchi wa Afrika Kusini kwa kuwaambia "The battle is not over". Yani pamoja na kufungwa kwangu, msife moyo endelezeni mapambano. Lema anatoka mahakamani juzi anawatia moyo wananchi wa Arusha maneno kama yale ya Madiba. Anawaambia "Kuweni na moyo mkuu msiogope". Inaumiza, inasikitisha, inatia hasira. Hasa ukifikiria kwamba haya yanafanyika katika nchi huru, bora Madiba alifanyiwa wakati wa ukoloni. Na hapa ndipo napokumbuka maneno ya Julius Malema kwamba "Not yet Uhuru". [HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG].!
[
 
Vipi Mawazo mwenyekiti wa cdm Geita tokea wamuue ccm hatusikii kesi wala nini na wahuaji hawajulikani Kama wamo ndani kwasabbu tokea ccm wamuue Mawazo mwaka umeisha hakuna kesi,lakini Lema kuota ndoto tu kuwa Magufuli asijifananishe na mungu imekuwa shida,lkni ccm pale walipoua Mawazo kimya juu ya hili suala
 
Anaandika Comred Malisa Godlisten

Mzee Madiba alipowekwa gerezani na utawala wa Kikaburu aliwatia moyo wananchi wa Afrika Kusini kwa kuwaambia "The battle is not over". Yani pamoja na kufungwa kwangu, msife moyo endelezeni mapambano. Lema anatoka mahakamani juzi anawatia moyo wananchi wa Arusha maneno kama yale ya Madiba. Anawaambia "Kuweni na moyo mkuu msiogope". Inaumiza, inasikitisha, inatia hasira. Hasa ukifikiria kwamba haya yanafanyika katika nchi huru, bora Madiba alifanyiwa wakati wa ukoloni. Na hapa ndipo napokumbuka maneno ya Julius Malema kwamba "Not yet Uhuru". [HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG].!
Yaani Lema awatie moyo watu wa ARUSHA kwa jambo la kijinga kama lile basi wote wa ARUSHA watakuwa wajinga, Naamini hakuna watu wenye busara huko Arusha wanaoshabikia ujinga huo wa Lema, LABDA WANACHADEMA WALIOHARIBIWA UBONGO KWA MATUMIZI YA MIRUNGI. GONGO, VIROBA, BANGI NK NDIO WANASHABIKIA UPUUZI HUO WAKIWEMO HAO AKINA GODLESS MALISA.
 
Anaandika Comred Malisa Godlisten

Mzee Madiba alipowekwa gerezani na utawala wa Kikaburu aliwatia moyo wananchi wa Afrika Kusini kwa kuwaambia "The battle is not over". Yani pamoja na kufungwa kwangu, msife moyo endelezeni mapambano. Lema anatoka mahakamani juzi anawatia moyo wananchi wa Arusha maneno kama yale ya Madiba. Anawaambia "Kuweni na moyo mkuu msiogope". Inaumiza, inasikitisha, inatia hasira. Hasa ukifikiria kwamba haya yanafanyika katika nchi huru, bora Madiba alifanyiwa wakati wa ukoloni. Na hapa ndipo napokumbuka maneno ya Julius Malema kwamba "Not yet Uhuru". [HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG].!
Bavicha bana,mmefikia ya kumlinganisha Mandela na muhuni?
 
Kuna ukingo mkubwa sana unaotenganisha baina ya Madiba na Lema

Madiba hajawahi kutuhumiwa kwa ubakaji. Lema aliwahi kutuhumiwa kumbaka Flora Lymo huko Uingereza.

Madiba hajawahi kutuhumiwa kwa ujambazi. Lema ni mtuhumiwa wa ujambazi wa kutumia silaha akijihusisha na wizi wa Magari.
Kuna mtu aliwahi sha
Anawatia moyo wananchi wa Arusha wawe marafiki, yaani "mashoga" kwa lugha ya Lema, nyie watu mna madharau sana.
 
Kuna mtu aliwahi sha
Kabla ya mtu hujaanzisha mada kumbuka dunia inazunguka kwenye mhimili ndo sababu Trump hakutegemewa na wengi kuwa rais wa dunia lakini sasa ndo hivyo tena.Muungwana aliwahi sema tujifunze kuweka akiba baadhi ya maneno.Daa Tuwe na hofu ya Mungu watu na familia zao kuitwa mashoga na mbaya zaidi kuitwa hivyo na mtu anayeweza tumwa sokoni na hao watu
 
Anaandika Comred Malisa Godlisten

Mzee Madiba alipowekwa gerezani na utawala wa Kikaburu aliwatia moyo wananchi wa Afrika Kusini kwa kuwaambia "The battle is not over". Yani pamoja na kufungwa kwangu, msife moyo endelezeni mapambano. Lema anatoka mahakamani juzi anawatia moyo wananchi wa Arusha maneno kama yale ya Madiba. Anawaambia "Kuweni na moyo mkuu msiogope". Inaumiza, inasikitisha, inatia hasira. Hasa ukifikiria kwamba haya yanafanyika katika nchi huru, bora Madiba alifanyiwa wakati wa ukoloni. Na hapa ndipo napokumbuka maneno ya Julius Malema kwamba "Not yet Uhuru". [HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG].!
Anawatia moyo wezi wa magari kuwa one day yes!
 
Kuna ukingo mkubwa sana unaotenganisha baina ya Madiba na Lema

Madiba hajawahi kutuhumiwa kwa ubakaji. Lema aliwahi kutuhumiwa kumbaka Flora Lymo huko Uingereza.

Madiba hajawahi kutuhumiwa kwa ujambazi. Lema ni mtuhumiwa wa ujambazi wa kutumia silaha akijihusisha na wizi wa Magari.
Acha kuandika porojo za vijiweni hapa!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom