Hasani mbaga
New Member
- Feb 7, 2019
- 3
- 0
Wadau nisaidieni ,hivi nikitumia Doxi za uti siruhusiwi kula nini?
Lugha uliyotumia hapa usitegemee kukutana na jibu la kitaalam,kwanza heading ya uzi haieleweki kisha humo katikati ya sentence umechanganya herufi za kihuni kama doxi.Wadau nisaidieni ,hivi nikitumia Doxi za uti siruhusiwi kula nini?
Sawa natumia dawa ya doxycycline capsules , je, siruhusiwi kula chakula gani ?Lugha uliyotumia hapa usitegemee kukutana na jibu la kitaalam,kwanza heading ya uzi haieleweki kisha humo katikati ya sentence umechanganya herufi za kihuni kama doxi.
Rekebisha ulichokiandika hakuna doctor atapasuka kichwa kutafuta maana ya neno uliloandika hali ya kuwa humlipi.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Wadau nisaidieni ,hivi nikitumia Doxi za uti siruhusiwi kula nini?