NYANYADO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 3,730
- 2,322
Chuo kasoma St John Dodoma, hiyo marekani itakuwa ya uko umasaini
Possibly itakuwa Mererani.
Chuo kasoma St John Dodoma, hiyo marekani itakuwa ya uko umasaini
Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
William acha uhuni wakoLe mutuz kaingiaje hapa?...grow up...acha utoto.
😂😂😂😂😂😂😂!!! Dah...Marekani au Mererani?
Sasa milioni100 ni hela nyingi😂😂😂Sabaya ana pesa nyingi sana wala sio mshamba.serikali inakufunga alafu inakuacha na hela,zile 100 mil wanazosema kaiba na zingine nyingi kaachiwa
Waswahili wanakuambia ukitaka kujua tabia ya mtu mpe madaraka, hata zile tabia za kihuni alizokuwa akizificha atazionesha wazi.Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Na kuishi huko miaka kadhaaHata Le mutuz kasoma Marekani!
Kuna Mkurugenzi mmoja aliwahi kuwekwa mtu kati na Hayati Magufuli akaulizwa kabla ya uDED ulikuwa wapiakasema alikuwa Marekani, chuma kikamwambia kwa hiyo umekuja toka Marekani kuleta upumbavu wako hapa! Siyo wote waliosoma ama kuishi Marekani wako njema.Utaenda Marekani na mambo yako ya kiswahili na ushamba na kisha ukarudi nayo mambo hayohayo Tanzania na usionyeshe umebadilika.
Ushahidi wa hayo upo wa viongozi ambao huenda huko ughaibuni kujifunza na wakirudi hapa Tanzania hurejea kwenye ujinga wao uleule.
Unaweza kumpeleka Mshamba Marekani, lakini Ushamba ukagoma kutoka.Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Marekani alienda kusomea unyang'anyi?Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?