Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
- Thread starter
- #101
aaaaahhhhhaaaaahhMwalimu wake alokuwa TRUMP
aaaaahhhhhaaaaahhMwalimu wake alokuwa TRUMP
AnaloKinachoniuma kwa dogo Sabaya ni kukosa zigo kama lile la Bashite
Pole kwa kumpoteza classmateAlienda marekani lini kusoma maana mm nimesoma nae
Embu weka picha zake tumuoneLakini kwa nini aliamua kumbaka Nandy wakati ana mchumba mzuri tu??
Sasa unaniuliza mimi?Lakini kwa nini aliamua kumbaka Nandy wakati ana mchumba mzuri tu??
Sabaya alisoma USA kweli? review credibility ya vyanzo vyako vya taarifaKtk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Ibaki tu kuwa funzo kwa viongozi wenzieWakati jamaa anavunja Sheria ndugu zake hawakuona haja ya kumshauri, "mchumia janga hula na wakwao".
Acha uzandiki, Marekani ipi kwa Elimu ipi na Level ipi?Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Hakuna Ujinga Huo. Mtoa maada anatafuta views na commentsmmmh ni kweli? vitafuta vyenzo ujiridhishe
Ndivyo ilivyo. HewaUkichunguza utakuta hiyo elimu anayodai kuipata Marekani ni hewa.
itakuwa Stanford University ya nyokooo MBA akafanyia pale Yale ya nyokooooElimu yake US aliipatia wapi?
Level gani na.chuo ganiNi kweli alipata Marekani kwenye On-line studies
Ila mzee nae alikuwa mkaksi Sana alipokuwa Songea,alipora mashamba ya watu bila kuwalipa fidia na kusema Ardh ni Mali ya serikali.Mungu si Athuman maeneo yenyewe ameshindwa hata kulima ameishia kuchimbua visiki tu.Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Kafata nyendo za baba yake..nae aliwahi chomewa nyumba na raia wenye hasira Kali kwaajili ya uovu wakeKtk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Unayajua matendo ya Babake Sabaya.Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
ChuoAcha uzandiki, Marekani ipi kwa Elimu ipi na Level ipi?
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Ole Sabaya mtoto sio TISS, aligushi vitambulisho na aliwahi kushitakiwa, Magufuli kaifuta kesi na kumteua DC. Maajabu kweli!!!Unayajua matendo ya Babake Sabaya.
Akiwa DC Serengeti alichoma nyumba zaidi ya 800.
Na akaondosha watu hovyo wengine akawapeleka Kenya hiyo ni 2004 kipindi cha Mkapa.
Alipokuja Kikwete akamhamisha akampleka Rukwa au Njombe kama sikosei..Akashtakiw na Tume ya Haki za Binadamu akaambiwa alipe watu wa serengeti.
Sabaya kurithi ujinga kwa Babake
NOTE:Babake alikua TISS na mtoto pia TISS.
Yan sabaya kasoma marekan kaona haitoshi kaja kusoma tena na st.johnNimetafuta vya kutosha. Soma historia ya Sabaya