Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa pamoja na mkewe Mama Regina Lowassa wamefika kutoa pole kwa familia ya Ruge Mutahaba.
Jambo jemaWaziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa pamoja na mkewe Mama Regina Lowassa wamefika kutoa pole kwa familia ya Ruge Mutahaba.
View attachment 1034183
ni kweli ila nadhani ni vile ameanza kuizoea hali....Ukicheki body language Ujio wa lowasa umempa nguvu na faraja mzee mutahaba tofauti na ilivyokuwa kwa ujio wa makonda na majaliwa hapo jana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana Kamanda wetu Mungu azidi kukupa moyo wa HurumaWaziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa pamoja na mkewe Mama Regina Lowassa wamefika kutoa pole kwa familia ya Ruge Mutahaba.
View attachment 1034183
Hakuna namna ,kapata watu wazuri wa counsellingni kweli ila nadhani ni vile ameanza kuizoea hali....
mbona kama nimemuona mzee kingunge? kuna watu hawatakagi kupitwa na lowassa, kesho utawasikia na wao tena kwenye mapokezi, sijui watatoa drimulaini?
Ukicheki body language Ujio wa lowasa umempa nguvu na faraja mzee mutahaba tofauti na ilivyokuwa kwa ujio wa makonda na majaliwa hapo jana
Sent using Jamii Forums mobile app
ni kweli ila nadhani ni vile ameanza kuizoea hali....
Nguvu ipi hiyo? Mahaba niueUkicheki body language Ujio wa lowasa umempa nguvu na faraja mzee mutahaba tofauti na ilivyokuwa kwa ujio wa makonda na majaliwa hapo jana
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani ilikuaje maana kila mtu ana mmind DAB kwenda kama vile aliharibuMakonda naye anashindwaga kuepuka mengine ange nyuti tu kwenda aisee,
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, aisee. Yaani hapo ulikuwa bado hujui kuwa Mr. Whitehair keshasepa.Ukicheki body language Ujio wa lowasa umempa nguvu na faraja mzee mutahaba tofauti na ilivyokuwa kwa ujio wa makonda na majaliwa hapo jana
Sent using Jamii Forums mobile app