johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,736
- 141,599
Nimeelezwa na mzee mmoja ninayemheshimu sana ambaye amezaliwa upya katika Kristo ya kwamba mzee Lowassa amewasamehe bure wale wote waliomuita fisadi.
Inaelezwa kuwa mzee Lowassa ametafakari sana na kugundua siasa zetu zimefikia hapa tulipo kwa sababu ya kuzushiana mambo mabaya yasiyo na chembe za ukweli.
Hivyo Lowassa ameona njia pekee ya kulinusuru taifa na siasa UCHWARA ni wanasiasa kusameheana, hivyo ametangaza msamaha kwa wale waliomkata na kumzushia kila aina ya uongo kule CCM.
Kadhalika amewasamehe wanachadema wote waliomzushia kuwa yeye ni fisadi pale Mwembeyanga japokuwa kuna wengine wengi walishamfuata na kutubu.
Ni hayo machache
Maendeleo hayana vyama!
Inaelezwa kuwa mzee Lowassa ametafakari sana na kugundua siasa zetu zimefikia hapa tulipo kwa sababu ya kuzushiana mambo mabaya yasiyo na chembe za ukweli.
Hivyo Lowassa ameona njia pekee ya kulinusuru taifa na siasa UCHWARA ni wanasiasa kusameheana, hivyo ametangaza msamaha kwa wale waliomkata na kumzushia kila aina ya uongo kule CCM.
Kadhalika amewasamehe wanachadema wote waliomzushia kuwa yeye ni fisadi pale Mwembeyanga japokuwa kuna wengine wengi walishamfuata na kutubu.
Ni hayo machache
Maendeleo hayana vyama!