Uchaguzi 2020 Mzee Kikwete: Watu wanasema Mama Salma kaachwa ndio sababu anahangaikia Ubunge, nasema wapuuzeni

haki kwa wote unayoitaka utaipata wapi mkuu? amerika kwenyewe ilikoanzishwa mifumo hii ya utawala wa sheria na haki bt bado kuna ujinga mwingi, hapa tunachoangalia ni unafuu wa mambo, mungu mwenyew ambae ni mkamilifu bt bado analaumiwa kwa kuumba tajiri na maskin, vilema, vipofu na nk.. sembuse magu ambae ni binadam? kwa kiasi chake magu kasawazisha mambo.
Paul sylvester niliyemquote ndiye kasema kwa sasa haki ipo kwa wote. Nilifikiri ungemuuliza yeye imewezekanaje!
 
Nipo mchinga kwa sasa.mama hana chacke na analijua hilo.jama kwenye kampeni za uzinduzi jimboni kwake anadai eti alilazimishwa kugombea.

Mchinga ni la mtoto mwema mwaka huu
IMG-20200903-WA0000.jpg
IMG-20200906-WA0008.jpg
 
Aisee! Kuna binadamu wanakula mema ya nchi vizuri sana, kutoka kuwa 'first lady' kwa miaka 10 mpaka mbunge wa kuteuliwa na sasa anachukua Jimbo.

Kila laheri Mama Salma kwenye harakati za kutwaa jimbo.
Nawe jifunze utii ule mema ya nchi
 
Anachokifanya mama Salma kiko sahihi labda tuwape na reference za huko Mamtoni, Hilary Clinton alikuwa First lady wakati wa Utawala wa Mumewe Bill Clinton, Mumewe amekuja kuwa succeeded na Bush JR sasa wakati wa obama tenure huyu mwanamama alirudi tena as Secretary of state na baadae alienda far kwa kuwa Presidential candidate flag bearer wa Democrat ivo alikuwa anaenda kuwa Rais , Mwaka huu Michele Obama aliekuwa First lady ilibaki ivi awe picked up na Jo Bidden as his running mate.
Aligombea Jimbo gani?
 
Sasa hizo personal issues zao mwananchi zinamuhusu nini; kweli matatizo yamekwisha hadi kuachika au kutokuachika kwa mtu kunapewa platform na kuongelewa...
 
Back
Top Bottom