SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Huyu mzee naye katuachia msala mkubwa sana.
Hapo anazuga tuKashakuja mkuu. Anasema anampenda Magufuli kwa sababu kaleta haki!
paul sylvester
Ukizungumzia haki basi ana haki ya kugombea na hata mzee JK nafikiri ana haki kurudi kugombeaBila kupekecha macho, Hii sio haki, Ubunge wa nini? Badala ya kuachia na wengine, jamani, hivi huwa tunasahau kwamba vitu Vyote hivi tunavyovisumbukia tuaviacha katika siku na muda usiojulikana na hatutaondoka navyo?
Watu wasio na ufahamu na mambo wakiongozwa na chuki binafsi wanatiririka tu bila kuyajua haya.Anachokifanya mama Salma kiko sahihi labda tuwape na reference za huko Mamtoni, Hilary Clinton alikuwa First lady wakati wa Utawala wa Mumewe Bill Clinton, Mumewe amekuja kuwa succeeded na Bush JR sasa wakati wa obama tenure huyu mwanamama alirudi tena as Secretary of state na baadae alienda far kwa kuwa Presidential candidate flag bearer wa Democrat ivo alikuwa anaenda kuwa Rais , Mwaka huu Michele Obama aliekuwa First lady ilibaki ivi awe picked up na Jo Bidden as his running mate
Huyo mama Clinton aliwania uraisi ila hajawahi kuwa rais was USA, lakini pia yeye hakuwahi kugombania ubunge!.Ingetokea ulaya poa, bongo noma.
Unamfahamu Bibi Clinton? Mara mbili (2007 ndani ya chama cha Democratic, na 2016 akichuana na Trump) aliutaka uRais wa Marekani.
Kama anakarama ya uongozi, haiwezi kufungwa na uRais wa mmewe, Ni wakati wake naye asimame yeye kama yeye.
Tunaongelea hapa nchini Tanzania, ni wapi uliwahi kumuona mke wa rais mstaafu anawania udiwani au ubunge?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwasheee wanasema huyu anajiandaa kuja kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano!Mke wa Yoweri Mseveni ni mbunge na waziri bwashee!
Wewe ndio unateseka wacha kuzungumza kwa ujumla
Shukuru sana kupendeza kwa dada yako, vinginevyo ungekuwa mpiga deki kwa Chakubanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Hugo mama Clinton aliwania uraisi ila hajawahi kuwa rais was USA,lakini pia yeye hakuwahi kugombania ubunge!.
Ndio maana pamoja na kushinda kwake katika uchaguzi,hawakutaka awe Rais wa USA
Kutoka First Lady hadi kuwa Mgonga meza!! Aibu tupu.Bwashee yaan hakuna hata mke mmoja wa Rais aliyewahi kutaka ubunge, Huyu kipo kinamhangaisha?
Asante sana.Ingetokea ulaya poa, bongo noma.
Unamfahamu Bibi Clinton? Mara mbili (2007 ndani ya chama cha Democratic, na 2016 akichuana na Trump) aliutaka uRais wa Marekani.
Kama anakarama ya uongozi, haiwezi kufungwa na uRais wa mmewe, Ni wakati wake naye asimame yeye kama yeye.
Katiba inasemaje?Bila kupekecha macho, Hii sio haki, Ubunge wa nini? Badala ya kuachia na wengine, jamani, hivi huwa tunasahau kwamba vitu Vyote hivi tunavyovisumbukia tuaviacha katika siku na muda usiojulikana na hatutaondoka navyo?
Nyie mnaheshimu katiba? Tangu lini mkaithamini katiba ya nchi?Katiba inasemaje?