Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,124
- 27,919
Kwa wenzetu kawaida tu, pia hata umri wake bado lazima afanye kaziAisee! Kuna binadamu wanakula mema ya nchi vizuri sana, kutoka kuwa 'first lady' kwa miaka 10 mpaka mbunge wa kuteuliwa na sasa anachukua Jimbo.
Kila laheri Mama Salma kwenye harakati za kutwaa jimbo.