Kwani kushindwa kumudu U-rais kumeanza kwa Samia? Kwani mwendazake alimudu? Mbona pamoja na kutomudu alikuwa mwenyekiti. Samia apewe uenyekiti wa CCM. Tena nasema apewe!Hapa tulikofikia bado samia hatujamuona kama kamudu urais,sasa mnataka kumuongezea tena uwenyekiti wa Chama?