Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
huyu lucas mobutu ni chokoraahujui kodi yako imepigwa kiasi gani kipindi cha JK..???watz hatujitambui..hizo hela zilizokuazinaibwa ni kodi zetu..yambaf
alikuwa anapiga dili zimegoma sasa
huyu lucas mobutu ni chokoraahujui kodi yako imepigwa kiasi gani kipindi cha JK..???watz hatujitambui..hizo hela zilizokuazinaibwa ni kodi zetu..yambaf
Je huyu wa sasa na skandali ya 1.5T
The imprudent think over just a certain issue, msipende kulazimisha kila mtu auishi ujinga.huyu lucas mobutu ni chokoraa
alikuwa anapiga dili zimegoma sasa
Kuelewa nini maana hakukuwa na maelezo yoyote za ya maelezo ya polepole1.5T is not news! haukutaka kuelewa tu
hujui kodi yako imepigwa kiasi gani kipindi cha JK..???watz hatujitambui..hizo hela zilizokuazinaibwa ni kodi zetu..yambaf
Wengine ni kuwasamehe tu maana anadhani anaweza kutujaza ujinga alionao na sie tumkubali atafute sehemu nyingine kuyaongelea haya, labda vijiweni kwa wasiojitambua , Rais anachapa kazi na vitu vinaonekana , watu wameiibia nchi hii unaleta ujinga wako hapa , huoni reli , barabara , meli , fly over , bandari, vivuko vikijengwa , maji nchi nzima yakifanyiwa kazi, stinglers gorge, umeme vijini, elimu bure , kupambana na mafisadi bomba la mafuta.,Huyu hata kama kuna hicho lkn inafanyakazi somewhere, huyu Jk watu wameficha hela (kodi) uswisi bado mnamfagilia..yaani tumepigwa awamu ya nne vyakutosha hajawahi tokea ktk historia ya nchi..tu jaribu kua tunafikiria criticality.. Plzz