Tuondokane na dikteta mwaka huu.Kutekeleza mkuu. Kila mtu anaweza kuahidi maziwa na asali lakini kuileta ndio shida. JPM ataendelea kuwa N0. 1 kwa vitendo hatutaki ngonjera. Huyu watoto wake nao walikuwa marais, Watanzania mnakwama wapi? Mlikuwa mnamsimanga kuwa ni Vasco da Gama Wabongo kwa usahaulifu hamjambo!