M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
miaka 5 ya kwanza kaongeza $100B tu wakati JK kwa kipindi hicho hicho aliongeza zaidi ya mara 2 ya hiyo!Hawezi! Hata kufanikisha ifike USD 1200 hatoweza kutokana na kukuru kakara zake!
miaka 5 ya kwanza kaongeza $100B tu wakati JK kwa kipindi hicho hicho aliongeza zaidi ya mara 2 ya hiyo!Hawezi! Hata kufanikisha ifike USD 1200 hatoweza kutokana na kukuru kakara zake!
Kabisa mkuuKudadadeki, kweli Tanzania ni masikini, kumbe hatunaga hata USD buku jero kwa mwaka, iyoooooooooooo maweeeeeeee
Mwingine ni Mshamba fulani hivi magumashi
Watasema katumwa na MabeberuMATAGA watamuona JK ni bonge la Snitch.
Amesema kazi ya Magu sasa ni kututoa hapa kwny kipato cha $1,080 na kufikia $3,000 by 2025 ili kufikia uchumi wa Kati.
Yaani kama tangu 2005 mpk 2020 wamepambana marais hatari ndio tumefikia $1080 sijui miujiza ya aina gani itafanyika ndani ya miaka 5 kufikisha $1,920 zingine.
Msekwa alisema Pia Mkapa kwny utawala wake hakuwahi kuingilia mhimili wa Bunge nikajua hapo kuna mtu anapewa ujumbe indirect.Kuna siku watakuja kuparurana jukwaani hawa.......
......nilimsikiliza na Mzee Msekwa juzi kuhusu kuongeza muda wa urais, nikasema hapa kuna jambo huko ccm linatokota....ingawa alizungumzia Dr Salmin, lakini tunaoweza kuunga dots tulimwelewa vema.
Kwahiho WB ndio waongo?Tulisema hapa uchumi wa kati FAKE sasa Kikwete kathibitisha. Sasa huyo MKURUPUKAJI hizi details huwa hazijui anakurupuka tu!?
Kwahiyo Kikwete ataisaidia chadema kuingia ikulu?Kikwete huwa anaongea simple language lakini zina code balaa. Hapo mtu kapigwa code mataga hawaelewi.
Sasa hiyo unafikiri ina madhara yeyote kwa ccm?Msekwa alisema Pia Mkapa kwny utawala wake hakuwahi kuingilia mhimili wa Bunge nikajua hapo kuna mtu anapewa ujumbe indirect.
Ni vizuri, wote hao ni marais wa ccm, sasa muache kusema ccm haikufanya kituDah JK, huyu jamaa historia ya nchi hii ilipo na ilipotoka anaijua utafikiri jamaa ni Encyclopaedia
Ndiyo maana miaka kumi ikiisha unaachia wengine ili na wao wafanye yao. Hongereni sana CCM kwahiyo Demokrasia makini.
Hapana, ina madhara kwa CHAUMA,UDP na CCK-MAENDELEO.Sasa hiyo unafikiri ina madhara yeyote kwa ccm?
Kudadadeki, kweli Tanzania ni masikini, kumbe hatunaga hata USD buku jero kwa mwaka, iyoooooooooooo maweeeeeeee
MATAGA watamuona JK ni bonge la Snitch.
Amesema kazi ya Magu sasa ni kututoa hapa kwny kipato cha $1,080 na kufikia $3,000 by 2025 ili kufikia uchumi wa Kati.
Yaani kama tangu 2005 mpk 2020 wamepambana marais hatari ndio tumefikia $1080 sijui miujiza ya aina gani itafanyika ndani ya miaka 5 kufikisha $1,920 zingine.