Utatujuza ili iweje?Mzee kaniambia anataka kuniambia siri na kuwa ananiamini mimi tu kuliko ndugu zangu wote, na pia hawajui, anasema alitaka kufa nayo ila kaona mimi ninajielewa kidogo, so anataka kunipasulia. Sio mama, sio nani hakuna anayeijua, ninaogopa na nina hofu.
Nina uoga kwani sijui ni nini ataniambia na kwa nn awafiche wengine mpaka umri huu alionao???
Nimetingwa, anyway ngoja niende iyo likizo nikamsikilize kwa makini...
Nitawajuza kitakachojiri endapo ikibidi.
Wewe ndie unejielewa, umeshakimbilia JF. Mpe Mzee heshima yake!Mzee kaniambia anataka kuniambia siri na kuwa ananiamini mimi tu kuliko ndugu zangu wote, na pia hawajui, anasema alitaka kufa nayo ila kaona mimi ninajielewa kidogo, so anataka kunipasulia. Sio mama, sio nani hakuna anayeijua, ninaogopa na nina hofu.
Nina uoga kwani sijui ni nini ataniambia na kwa nn awafiche wengine mpaka umri huu alionao???
Nimetingwa, anyway ngoja niende iyo likizo nikamsikilize kwa makini...
Nitawajuza kitakachojiri endapo ikibidi.
Hawezi kujua.Wachawi ni moja wapo ya familia zinazoongozwa na miiko ya usiri mkubwa sana. Amekuona wewe ni msiri na mmeshibana, jiandae kuchukua mikoba.Sidhan kam issue ni hyo, kama ndivyo basi angejua bi mkubwa pia
Pole Sana....May her soul rest in peace amenNenda kesho wewe kamsikilize kesho ni weekend..Mimi marehemu mama alinipigia simu tukapiga story mbili tatu halafu akaniambia hivyohivyo kama ulivyoambiwa wewe kuwa kesho akitulia ataniambia siri ambayo wengine hawaijui siku hiyohiyo baadae akazidiwa ghafla na pumu akapelekwa hospital tangu hapo akawa mahututi anashindwa hadi kuongea mpaka umauti ulipomkuta..nadhani pamoja na uanaume wangu mimi ndio mtu niliyelia sana kuliko mtu yeyote siku ile ya msiba
Nenda kesho wewe kamsikilize kesho ni weekend..Mimi marehemu mama alinipigia simu tukapiga story mbili tatu halafu akaniambia hivyohivyo kama ulivyoambiwa wewe kuwa kesho akitulia ataniambia siri ambayo wengine hawaijui siku hiyohiyo baadae akazidiwa ghafla na pumu akapelekwa hospital tangu hapo akawa mahututi anashindwa hadi kuongea mpaka umauti ulipomkuta..nadhani pamoja na uanaume wangu mimi ndio mtu niliyelia sana kuliko mtu yeyote siku ile ya msiba
Ulipishana na siri ya kiroba cha dhahabu alichokificha kwa ajili yako.Nenda kesho wewe kamsikilize kesho ni weekend..Mimi marehemu mama alinipigia simu tukapiga story mbili tatu halafu akaniambia hivyohivyo kama ulivyoambiwa wewe kuwa kesho akitulia ataniambia siri ambayo wengine hawaijui siku hiyohiyo baadae akazidiwa ghafla na pumu akapelekwa hospital tangu hapo akawa mahututi anashindwa hadi kuongea mpaka umauti ulipomkuta..nadhani pamoja na uanaume wangu mimi ndio mtu niliyelia sana kuliko mtu yeyote siku ile ya msiba
Kamsaidie kubeba vibuyu !!!!Mzee kaniambia anataka kuniambia siri na kuwa ananiamini mimi tu kuliko ndugu zangu wote, na pia hawajui, anasema alitaka kufa nayo ila kaona mimi ninajielewa kidogo, so anataka kunipasulia. Sio mama, sio nani hakuna anayeijua, ninaogopa na nina hofu.
Nina uoga kwani sijui ni nini ataniambia na kwa nn awafiche wengine mpaka umri huu alionao???
Nimetingwa, anyway ngoja niende iyo likizo nikamsikilize kwa makini...
Nitawajuza kitakachojiri endapo ikibidi.
Hiyo ndio Siri yenyewe alishaona kitakachotokea akitaka akuage.Nenda kesho wewe kamsikilize kesho ni weekend..Mimi marehemu mama alinipigia simu tukapiga story mbili tatu halafu akaniambia hivyohivyo kama ulivyoambiwa wewe kuwa kesho akitulia ataniambia siri ambayo wengine hawaijui siku hiyohiyo baadae akazidiwa ghafla na pumu akapelekwa hospital tangu hapo akawa mahututi anashindwa hadi kuongea mpaka umauti ulipomkuta..nadhani pamoja na uanaume wangu mimi ndio mtu niliyelia sana kuliko mtu yeyote siku ile ya msiba
Baba yako katunza Siri miaka yote hiyo..wewe leo hii unataka kuja kuitoa hiyo siri hapa JF! Aisee🤣🤣Mzee kaniambia anataka kuniambia siri na kuwa ananiamini mimi tu kuliko ndugu zangu wote, na pia hawajui, anasema alitaka kufa nayo ila kaona mimi ninajielewa kidogo, so anataka kunipasulia. Sio mama, sio nani hakuna anayeijua, ninaogopa na nina hofu.
Nina uoga kwani sijui ni nini ataniambia na kwa nn awafiche wengine mpaka umri huu alionao???
Nimetingwa, anyway ngoja niende iyo likizo nikamsikilize kwa makini...
Nitawajuza kitakachojiri endapo ikibidi.
Hivi mtu aliyehitimu kidato cha 4 mwaka 1972 ni educated au? Sielewi!