Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,105
Taarifa inatolewa kwamba Mzee Juma Duni Haji akiambatana na Shehe Issah Ponda leo tarehe 18/12/2021 wamefika kwenye Gereza la Ukonga ili kumjulia hali Mwamba Freeman Mbowe , ambaye amewekwa jela kwa amri ya watawala kutokana na kudaiwa KUKOSA HESHIMA.
Habari kutoka Gerezani zinadai kwamba Mbowe yuko imara sana kiafya na kiakili na ametuma ujumbe Muruwa kwa watu wote nchini Tanzania kuendelea kudai KATIBA MPYA.