Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,313
- 13,618
Wewe ni mahakama?!Itathibisha muda sio mrefu
Wewe ni mahakama?!Itathibisha muda sio mrefu
hapo sasaHuyu mama wkt anachukua nchi alisema hataki kesi za kubambikiza imekuaje na yeye anabambikizia watu kesi?
Hili lipo wazi mkuu, ni hila za Watawala hawapendi kusikia maslahi yao yanaguswa wala kusoglewa.Mbowe sio gaidi.
Unateseka sana kwa msimamo wa Mbowe.Mchakato wa 'kumsamehe' unaendelea na Bw.Mbowe kaendelea kuwa mtu mwenye busara ili asamehewe kama walivyosamehewa Ma Sheikh wa uamsho.
Gaidi mama yako shenziWanapoteza muda gaidi hawezi kusamehewa kwa cheapest popularity
USSR
KaogeAchane woga wa kujiita makamanda..... wazee wanawashinda dah
Kaoge
Ingekuwa mbowe ni muislam wangekinukisha mbaya.Hawa wawili ni wanadiasa au wanaharakati wa dini?
Hawa wawili kwenye akili yao wanadai democrasia ya katiba au wanadai daesh inayoendeshwa na kitabu cha dini?
Hawa kweli ni watetezi wa watu wote?