TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,730
- 21,128
Ikitokea ukaulizwa swali na ndg mwandishi, utakataa kujibu kisa una mgonjwa au ulipuuzwa?Mzee jikite kwenye matibabu ya mwanao Le Mutuz kwanza, tunajua mengi kukuhusu. Tulia umalizie uzee wako taratibu.