BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,009
Wanalazimisha tumpende lakini HAPENDEKI!!!
Huyo mama ni kimeo
Huyo mama ni kimeo
Kwa hiyo wapinzani akili hawanayo mpaka wanauniliwa kwanini wapinzani wasi nunue ccm ila ccm ndo inayoinunua wapinzaniAti aliahidi kukifanya CCM kuwa chenye nguvu, kwa kununua wapinzan, kwa wizi wa kura ulokithiri.
Vitabu vya dini vinasema husihibe na kama walituvurugia uchaguz kwa kuiba kura mimi naomba moto wa milele umuanzie mwizi yeyote wa kura pale pale kaburini, shenzi kabisa.
Huyu Jumanne atulie tu, alishindwa kusidia hata jimbo lake maendeleo pamoja na kusilimishwa na waarabuAkiongea na kituo cha runinga cha Azam, leo asubuhi mjini Dodoma, mzee John Malecela amemshukuru aliekuwa raisi marehemu John Magufuli kwa kazi nzito ya kujenga upya mji wa Dodoma.
Mzee John Malecela ambae aliwahi kuwa waziri mkuu wa Tanzania na balozi nchini Uingereza amemtakia kheri Raisi Samia Suluhu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Aliulizwa kuhusu maono ya marehemu JPM kama CCM itaweza kuyabeba na kuyandeleza yale yote ambayo ameyaacha.
Mzee Malecela akajibu kwamba marehemu John Magufuli alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CCM aliahidi kukiimarisha chama cha mapinduzi na kukifanya kuwa chama chenye nguvu nchini.
Akaendelea kwa kusema nguvu ya CCM ilijidhihirisha kwenye uchaguzi wa mwaka 2020.
Mwisho akatoa onyo kwamba ikiwa kuna mafisadi ambao wana mpango wa kuja kukivuruga chama cha mapinduzi basi anaahidi kuwa watashughulikiwa ipasavyo.
Hayo ni maoni makini ya mmoja wa wazee na waasisi wa taifa hili yaani kwa kiingereza twasema "part of establishement".
Lakini tuchukulie kuwa hilo ni onyo kwa kila mtanzania ambae ana mawazo mengine mbadala ya mawazo ya CCM na dira ya maendeleo 2015-2025.
Wakati huohuo CCM mchana huu wapo kwenye kikao kizito kinachokaliwa na mzee Phillip Mangula.
Katibu mwenezi Humphrey Polepole anatarajiwa kutoa taarifa rasmi kuhusu yalojiri kwenye kikao hicho.
Huyu mzee anayo akili sanaKwa hiyo wapinzani akili hawanayo mpaka wanauniliwa kwanini wapinzani wasi nunue ccm ila ccm ndo inayoinunua wapinzani
Wewe hujui kitu unaongea ulikuwa ni uchaguzi wa aibu ndio maan jiwe likazima mitandao !!! Sasa hupo wapi!?Hizo kura mliibiwa wapi na ngapi?
Acheni unafki wananchi waliamua kuwakataa. Na kwahali ilivyo ndio mtakataliwa zaidi wananchi washajua kuwa nyie ni wezi na vibaraka msio na akili