jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,379
- 4,899
- Thread starter
- #21
Nilikuwa nakuona kichwa mwanzisha mada kumbe nilikosea .....kwa hiyo habari uliyoweka na waliomo ambao pia wamo kwenye Escrow hapa hutetei mtu bali unasaidia viwavi waunganishe doti vizuri .........:confused2:
Hoja inapingwa kwa hoja. So far hakuna mtu yoyote aliyethibitisha kuwa fedha za rugemalira ni haramu. Na ushahidi ndio huu kuwa kumbe alikuwa alikuwa anatoa misaada hadharani.