Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,877
- 19,777
Wewe ungepewa ekalu kama zawadi ungerudisha?
Hapo ndipo ujue kuna viongozi waadilifu midomoni na wale ambao ni waadilifu mioyoni. JKN alipoambiwa kuhusu kujengewa ^kasri^ akajibu: ^Lijumba lote hilo kwani mi tembo!???^ Sidhani kama angepokea zawadi ya billions wakati wananchi wake wanakufa kwa kukosa dawa na huduma hata zile basic kabisa. This is ignorance of highest magnitude. Tunapaswa kutafakari sana hata haya majina tunayowaita watu waheshimiwa wakati ni full madudu, tena kwa makusudi. Viongozi wa matumbo yao wenyewe na familia zao --- huku wakitiririkwa maneno mithili ya asali kuwahadaa raia wema. Pathetic!!!