Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,856
- 19,751
Unajielewa kweli!??? Priority iko wapi!??? Hizo fedha kwa nini hazikamilishi miradi iliyosimama kwa muda mrefu!??? Mishahara na maboresho ya wafanyakazi!??? Miundombinu!??? Kwani sasa hivi the so-called wageni mbalimbali wa Kimataifa wanapokelewa gereji!??? So, JKN aliyefariki before hajapewa kasri yake hakuwahi kuwapokea hao wageni!??? Hivi huna umaskini wa kufikiri kweli wewe!???