Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,339
- 45,656
Nani huyo alikuambia hivyo? Ukiingia YouTube utathibitisha alichokuambia ni utopolo.The monoparty really does exists in Africa too... Nakumbuka kuna mtu aliwahi kuniambia 2012 kwamba ungefunga macho na kitambaa cheusi ukasikiliza presidential debate ya Marekani Kati ya Romney na Obama ,ungesema wao ni mtu mmoja,,they had the same talking points except on cultural stuff.. Nnayoyaona leo kenya kwenye uchaguzi na hata kwetu Tz hapa ,nimepata uthibitisho tosha....