MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,213
- 22,277
Mkuu nakuunga mkono kwa 100%. Kinachoendelea sasa hivi CCM ni hatari mno. TZ itakuwa kama Zambia endapo kina polepole na wote ambao wameonyesha upinzani wasipotulizwa na kurudishwa kwenye mstari kwa njia za kidiplomasia. Ubabe ukitumika lazima chama kisambaratike.Kuna dalili kuwa maneno ya mwalimu yatatimia kabla ya 2025! Mwalimu alisema upinzani wa kweli utatoka Ccm na hii Chanjo ya Corona inaweza kutuletea wapinzani wenye maana na kuweza kuipiku CCM siyo wapuuzi kama akina Tundu Lissu. Time will tell maana hii move ya Gwajima na akina Polepole ni hatari kwa CCM.