Mzee Jakaya Kikwete hela za kuwekeza kwenye Elimu alikuwa anazitoa wapi

Wewe ni mjinga tu! Hakuna Rais aliyekarabati shule kongwe kama Magufuli na kutatua changamoto za madawati mashuleni! Pia alitoa ada mashuleni naona unaongea kama huna kichwa!
Huo ndo ukweli wenyewe kwa maendeleo hakuna hata moja unaloweza kumlinganisha msoga na magu lbd upigaji.
 
Mkuu inaonesha Huna data au kumbukumbu huna. Mh. JK alijenga shule za kata nchi nzima kwa kushirikiana na wananchi. Wananchi walijenga walichangishwa pesa wakajenga maboma serikali ikamalizia, na hivyo serikali ilipaswa kuajiri walimu wengi kutokana na uhitaji huo kwani walimu hawakuwepo wa kutosha kipindi hizi shule zinaanza hii ilipelekea baadhi ya masomo kufundishwa na madactari hasa biology.

JPM yeye aliwezesha ilimu bure hivyo kuongeza uandikishwaji wa watoto darasa la kwanza, hii ilipelekea upungufu wa madawati hivyo aliitisha harambee ya kuchangia madawati kwa kutumia wakuu wa mikoa na matokeo yake tuliyaona. Kwa akili ya kawaida usingetegemea JPM aajiri walimu wengi kiivyo kwa kuwa mahitaji ya walimu yalipungua sana tofauti na mwanzo hivyo aliajiri kutokana na ubitaji hasa sayansi. Kuonesha kuwa alikuwa anajali Elimu alikarabati shule zote za ufundi na akapeleka mpka maengineer wakafundishe zile shule. Sasa unaposema kwamba JPM alifeli vibaya sana kwenye elimu inaonesha sio mfuatiliaji wa mambo.

Mh. SSH yeye kakuta kuna upungufu wa madarasa ambao umetokana na elimu bure na pia ufaulu wakiungia kidato cha kwanza kuongezeka hivyo akaona ni busara kuongeza madarasa kwa ajili ya kukabiliana na ongezeko la wanafunzi.
 
Huyu mzee wa Msoga kwenye Elimu alitisha Sana,

Fikilia SSH amejenga madarasa elfu15 kwa pesa ya mkopo kutoka IMF, kwa iyo idadi ni madarasa kidogo Sana kwa nchi Kama Tanzania. Serikali ya JPM iliferi vibaya Sana kwenye Elimu, ata kuajiri walimu alishindwa, aliajiri walimu wachache mno, Tena kwa mbwembwe za press conference.

SSH, yeye amekopa kujenga madarasa, wanafunzi wameanza shule this week lakini walimu hasa wa Sayansi hakuna. Serikali imeshindwa kuajiri walimu wa kufundisha watoto wetu. Shule hazina walimu wa hesabu, physics, chemistry na Biology.

Lakini JK alijenga Madarasa kila kata nchi nzima, hakukopa kujenga madarasa, aliajiri walimu maelfu kwa maelfu.mfano wa idadi ya walimu walioajiri kipindi Cha JK.

2012/2013- walimu 32,764
2013/2014- walimu 40,327
2014/2015- walimu 46,103

Lakini chini ya Magufuli

2015-2016-hakuajiri sababu ya uhakiki

2016-2017-walimu 3184
2017-2018-walimu 4854
2018-2019-walimu 4327
2018-2020-walimu 8543

Chini ya Samia
2021-walimu 6468

JK alipata wapi hela za kuwekeza kwenye Elimu, na JPM na SSH wameshindwa nini, ufaulu wa juzi 64% wamepata division four na zero kwa kidato Cha nne.

Swali, JK alipata wapi pesa kuwekeza kwenye Elimu?

41FE3B3A-12F7-43BE-8A9C-61C810F59C0F.jpeg
 
Ni kweli alikuwa fisadi na kumbuka zile fedha za mdololo wa kiuchuni duniani hata sasa hakuna anayezungumzia ziligawiwa vipi, zilitumika vipi, na kwa uratatibu gani... ni walizichukua tu huko duniani, wakazitapanya kwa washikaji wao, wakazitumia kadri ya maono yao, wakazfrashi huko maliwatoni na sasa wamesahau kwamba walipewa fedha za mdororo wa kiuchumi duniani. Kilichi baki kwa sasa ni kufanya ma deal mengine ya Covid ili zije tena wazitapanye kwa kadri ya urefu wa kamba yao...
Mna chuki za kipumbavu sana sijui zina wasaidia nn.
 
Mkuu inaonesha Huna data au kumbukumbu huna. Mh. JK alijenga shule za kata nchi nzima kwa kushirikiana na wananchi. Wananchi walijenga walichangishwa pesa wakajenga maboma serikali ikamalizia, na hivyo serikali ilipaswa kuajiri walimu wengi kutokana na uhitaji huo kwani walimu hawakuwepo wa kutosha kipindi hizi shule zinaanza hii ilipelekea baadhi ya masomo kufundishwa na madactari hasa biology.

JPM yeye aliwezesha ilimu bure hivyo kuongeza uandikishwaji wa watoto darasa la kwanza, hii ilipelekea upungufu wa madawati hivyo aliitisha harambee ya kuchangia madawati kwa kutumia wakuu wa mikoa na matokeo yake tuliyaona. Kwa akili ya kawaida usingetegemea JPM aajiri walimu wengi kiivyo kwa kuwa mahitaji ya walimu yalipungua sana tofauti na mwanzo hivyo aliajiri kutokana na ubitaji hasa sayansi. Kuonesha kuwa alikuwa anajali Elimu alikarabati shule zote za ufundi na akapeleka mpka maengineer wakafundishe zile shule. Sasa unaposema kwamba JPM alifeli vibaya sana kwenye elimu inaonesha sio mfuatiliaji wa mambo.

Mh. SSH yeye kakuta kuna upungufu wa madarasa ambao umetokana na elimu bure na pia ufaulu wakiungia kidato cha kwanza kuongezeka hivyo vadi akaona ni busara kuongeza madarasa kwa ajili ya kukabiliana na ongezeko la wanafunzi.
Wewe umetetea kote kote,JPM huyu kwenye kuajiri alikuwa anabagua Mara phy,Mara Math hela Hana,JPM kwenye Elimu aliferi vibaya Sana
 
Kwenye swala la maendeleo ya mtu binafsi jk alikua nguli. Jk alifanya kazi kubwa hasa katika uboreshaji wa huduma za msingi, Elimu , barabara, afya kidogo
 
Wewe umetetea kote kote,JPM huyu kwenye kuajiri alikuwa anabagua Mara phy,Mara Math hela Hana,JPM kwenye Elimu aliferi vibaya Sana
Umeshindwa kuprove kwa fact alifeli vipi wakati ndie aliye asisi elimu bure na ndie aliyesajili wanafunzi wengi wa darasa la kwanza kuliko kiongozi yeyote, kama hiyo haitoshi kwenye uongozi wake hatukuwahi sikia wanafunzi wa vyuo vikuu wakigoma kisa kuchelewesha mikopo yao. Kuajiri aliajiri kulingana na mahitaji, sasa hapo utasema alifeli au wewe ndio unafeli humu kuweka ushahidi wako.
 
Wewe ni mjinga tu! Hakuna Rais aliyekarabati shule kongwe kama Magufuli na kutatua changamoto za madawati mashuleni! Pia alitoa ada mashuleni naona unaongea kama huna kichwa!
Hujui kuwa huyu Cathelin ni chadema na michadema inapenda kukandia Magufuli?
 
Samia anasema " mtu anafundishwa jinsi ya kutafuta pesa ila kutumia atajuwa mwenyewe namna ya matumizi yake"
 
Kwani hao walioajiriwa kipindi cha JK wameshastaafu? Au wmeahamia sector nyingine?
 
Wewe ni mjinga tu! Hakuna Rais aliyekarabati shule kongwe kama Magufuli na kutatua changamoto za madawati mashuleni! Pia alitoa ada mashuleni naona unaongea kama huna kichwa!
We ndo mjinga huo ukarabati ni shule ngapi ukilinganisha na ujenzi wa shule za kata? Bila kusahau udom kenge wew
 
We ndo mjinga huo ukarabati ni shule ngapi ukilinganisha na ujenzi wa shule za kata? Bila kusahau udom kenge wew
Kenge mama yako msenge wewe! Hizo VETA karibia kila mkoa huzioni? Wewe unahangaika na Magufuli ambaye wewe na ukoo wako uchwara hutakaa uwafikie kimaisha kwa kila kitu!
 
Back
Top Bottom