Mzee Jakaya Kikwete hela za kuwekeza kwenye Elimu alikuwa anazitoa wapi

Cathelin

JF-Expert Member
Sep 21, 2018
2,071
3,992
Huyu mzee wa Msoga kwenye Elimu alitisha Sana,

Fikilia SSH amejenga madarasa elfu15 kwa pesa ya mkopo kutoka IMF, kwa iyo idadi ni madarasa kidogo Sana kwa nchi Kama Tanzania. Serikali ya JPM iliferi vibaya Sana kwenye Elimu, ata kuajiri walimu alishindwa, aliajiri walimu wachache mno, Tena kwa mbwembwe za press conference.

SSH, yeye amekopa kujenga madarasa, wanafunzi wameanza shule this week lakini walimu hasa wa Sayansi hakuna. Serikali imeshindwa kuajiri walimu wa kufundisha watoto wetu. Shule hazina walimu wa hesabu, physics, chemistry na Biology.

Lakini JK alijenga Madarasa kila kata nchi nzima, hakukopa kujenga madarasa, aliajiri walimu maelfu kwa maelfu.mfano wa idadi ya walimu walioajiri kipindi Cha JK.

2012/2013- walimu 32,764
2013/2014- walimu 40,327
2014/2015- walimu 46,103

Lakini chini ya Magufuli

2015-2016-hakuajiri sababu ya uhakiki

2016-2017-walimu 3184
2017-2018-walimu 4854
2018-2019-walimu 4327
2018-2020-walimu 8543

Chini ya Samia
2021-walimu 6468

JK alipata wapi hela za kuwekeza kwenye Elimu, na JPM na SSH wameshindwa nini, ufaulu wa juzi 64% wamepata division four na zero kwa kidato Cha nne.

Swali, JK alipata wapi pesa kuwekeza kwenye Elimu?
 
Ni vipaumbele tu, JPM aliwekeza kwenye miradi mikubwa mfano Stiglers na SGR, JK ndio akawekeza kwenye elimu nakumbuka kuna wakati ikasemekana hata lile wazo la shule za kata aliyelileta alikuwa Lowassa akiwa PM.

Samia licha ya kuwepo madarakani kwa muda mfupi bado haeleweki mipango yake, ila hali ya mambo inavyoonesha, naona wameshaanza kula kwa urefu wa kamba zao.

- Bwawa la Nyerere ni kama limeshawashinda, sioni cha maana wanachofanya zaidi ya kufanya ziara kuangalia maendeleo ya ujenzi wake watuzubaishe lakini baada ya hapo ni kimya. Ile habari ya winchi ya tani 24 iliyoagizwa nayo sijui iliishia wapi.

- Umeme kukatika hovyo bila sababu za msingi, mwanzo walisema chanzo kilikuwa ukame, lakini hata baada ya mvua kuanza kunyesha bado umeme unasumbua, tatizo ni nini? kama ni maintanance kwa nini tatizo bado liwe endelevu? hapa ndipo JPM anapokumbukwa.

- Tozo; walisema zitaenda kujenga madarasa na vituo vya afya matokeo yake wakatumia pesa za Covid kwa ajili ya kazi hiyo, sasa sijui hizi tozo wanazotoza mpaka leo zinatumika kwa kazi gani wala hatuambiwi tena kwa mwezi wamekusanya ngapi na zinaelekezwa wapi? mambo yanajiendea tu.

- Mfumuko wa bei, bidhaa kupanda bei kila siku wakiulizwa wanasema tatizo ni soko la dunia, nashangaa hata nyama ya n'gombe nayo kupanda imesababishwa vipi na soko la dunia wakati Tz tuna n'gombe wengi tu?.

Wengine wanasema "soko huria" kwa hiyo hili soko ndio limeachwa limuumize mlaji kama vile hakuna serikali ya kusimamia mambo? kumbe sasa Tanzania wafanyabiashara wako juu ya serikali.

Hapa tatizo ni usimamizi na ufuatiliaji, kuna uzembe umerudi serikalini.
 
Ni vipaumbele tu, JPM aliwekeza kwenye miradi mikubwa mfano Stiglers na SGR, JK ndio akawekeza kwenye elimu nakumbuka kuna wakati ikasemekana hata lile wazo la shule za kata aliyelileta alikuwa Lowassa akiwa PM...
Kazi tunayo
 
Ni vipaumbele tu, JPM aliwekeza kwenye miradi mikubwa mfano Stiglers na SGR, JK ndio akawekeza kwenye elimu nakumbuka kuna wakati ikasemekana hata lile wazo la shule za kata aliyelileta alikuwa Lowassa akiwa PM...
Ila kukopa kujenga Madarasa sio poa
 
Ni vipaumbele tu, JPM aliwekeza kwenye miradi mikubwa mfano Stiglers na SGR, JK ndio akawekeza kwenye elimu nakumbuka kuna wakati ikasemekana hata lile wazo la shule za kata aliyelileta alikuwa Lowassa akiwa PM...
Interesting.
 
Ni vipaumbele tu, JPM aliwekeza kwenye miradi mikubwa mfano Stiglers na SGR, JK ndio akawekeza kwenye elimu nakumbuka kuna wakati ikasemekana hata lile wazo la shule za kata aliyelileta alikuwa Lowassa akiwa PM.

Samia licha ya kuwepo madarakani kwa muda mfupi bado haeleweki mipango yake, ila hali ya mambo inavyoonesha, naona wameshaanza kula kwa urefu wa kamba yao.

- Bwawa la Nyerere ni kama limeshawashinda, sioni cha maana wanachofanya zaidi ya kufanya ziara kuangalia maendeleo ya ujenzi wake watuzubaishe lakini baada ya hapo ni kimya. Ile habari ya winchi ya tani 24 iliyoagizwa nayo sijui iliishia wapi.

- Umeme kukatika hovyo bila sababu za msingi, mwanzo walisema chanzo kilikuwa ukame, lakini hata baada ya mvua kuanza kunyesha bado umeme unasumbua, tatizo ni nini? kama ni maintanance kwa nini tatizo bado liwe endelevu? hapa ndipo JPM anapokumbukwa.

- Tozo; walisema zitaenda kujenga madarasa na vituo vya afya matokeo yake wakatumia pesa za Covid kwa ajili ya kazi hiyo, sasa sijui hizi tozo wanazotoza mpaka leo zinatumika kwa kazi gani wala hatuambiwi tena kwa mwezi wamekusanya ngapi na zinaelekezwa wapi? mambo yanajiendea tu.

- Mfumuko wa bei, bidhaa kupanda bei kila siku wakiulizwa wanasema tatizo ni soko la dunia, nashangaa hata nyama ya n'gombe nayo kupanda imesababishwa vipi na soko la dunia wakati Tz tuna n'gombe wengi tu?.

Wengine wanasema "soko huria" kwa hiyo hili soko ndio limeachwa limuumize mlaji kama vile hakuna serikali ya kusimamia mambo? kumbe sasa Tanzania wafanyabiashara wako juu ya serikali.

Hapa tatizo ni usimamizi na ufuatiliaji, kuna uzembe umerudi serikalini.
Umeambiwa ulete Sato...wewe unaleta michembe!
 
Huyu mzee wa Msoga kwenye Elimu alitisha Sana,

Fikilia SSH amejenga madarasa elfu15 kwa pesa ya mkopo kutoka IMF, kwa iyo idadi ni madarasa kidogo Sana kwa nchi Kama Tanzania. Serikali ya JPM iliferi vibaya Sana kwenye Elimu, ata kuajiri walimu alishindwa, aliajiri walimu wachache mno, Tena kwa mbwembwe za press conference.

SSH, yeye amekopa kujenga madarasa, wanafunzi wameanza shule this week lakini walimu hasa wa Sayansi hakuna. Serikali imeshindwa kuajiri walimu wa kufundisha watoto wetu. Shule hazina walimu wa hesabu, physics, chemistry na Biology.

Lakini JK alijenga Madarasa kila kata nchi nzima, hakukopa kujenga madarasa, aliajiri walimu maelfu kwa maelfu.mfano wa idadi ya walimu walioajiri kipindi Cha JK.

2012/2013- walimu 32,764
2013/2014- walimu 40,327
2014/2015- walimu 46,103

Lakini chini ya Magufuli

2015-2016-hakuajiri sababu ya uhakiki

2016-2017-walimu 3184
2017-2018-walimu 4854
2018-2019-walimu 4327
2018-2020-walimu 8543

Chini ya Samia
2021-walimu 6468

JK alipata wapi hela za kuwekeza kwenye Elimu, na JPM na SSH wameshindwa nini, ufaulu wa juzi 64% wamepata division four na zero kwa kidato Cha nne.

Swali, JK alipata wapi pesa kuwekeza kwenye Elimu?
Wewe ni mjinga tu! Hakuna Rais aliyekarabati shule kongwe kama Magufuli na kutatua changamoto za madawati mashuleni! Pia alitoa ada mashuleni naona unaongea kama huna kichwa!
 
Huyu mzee wa Msoga kwenye Elimu alitisha Sana,

Fikilia SSH amejenga madarasa elfu15 kwa pesa ya mkopo kutoka IMF, kwa iyo idadi ni madarasa kidogo Sana kwa nchi Kama Tanzania. Serikali ya JPM iliferi vibaya Sana kwenye Elimu, ata kuajiri walimu alishindwa, aliajiri walimu wachache mno, Tena kwa mbwembwe za press conference.

SSH, yeye amekopa kujenga madarasa, wanafunzi wameanza shule this week lakini walimu hasa wa Sayansi hakuna. Serikali imeshindwa kuajiri walimu wa kufundisha watoto wetu. Shule hazina walimu wa hesabu, physics, chemistry na Biology.

Lakini JK alijenga Madarasa kila kata nchi nzima, hakukopa kujenga madarasa, aliajiri walimu maelfu kwa maelfu.mfano wa idadi ya walimu walioajiri kipindi Cha JK.

2012/2013- walimu 32,764
2013/2014- walimu 40,327
2014/2015- walimu 46,103

Lakini chini ya Magufuli

2015-2016-hakuajiri sababu ya uhakiki

2016-2017-walimu 3184
2017-2018-walimu 4854
2018-2019-walimu 4327
2018-2020-walimu 8543

Chini ya Samia
2021-walimu 6468

JK alipata wapi hela za kuwekeza kwenye Elimu, na JPM na SSH wameshindwa nini, ufaulu wa juzi 64% wamepata division four na zero kwa kidato Cha nne.

Swali, JK alipata wapi pesa kuwekeza kwenye Elimu?
Kwani umesahahu, alikuwa Matonya wa kimataifa na aliwakaba sana ipasavyo mashati na huko Davos akina Bill gates, Clinton na hadi Obama... sasa kazi kwake chief Hangaya na hizo hadithi zake za kutanganza utalii na mambo ya ushirikikina wa ma- chief huko Magu na sasa Kilimanjaro, sijui kama italipa au zitawakuwa ni danadana za sanda kalawe pangu pakavu tia mchuzi... ngoja tuone jinsi ma- chief watakavyo muwezesha hadi afikie kiwango cha JK Mzee wa Msoga na mtoto waq mjini na Bandari ya Bagamoyo...
 
Lakini wafuasi wa wenda zake siwa nasema Jk hajafanya lolote zaidi ya ufisadi?
 
Lakini wafuasi wa wenda zake siwa nasema Jk hajafanya lolote zaidi ya ufisadi?
Ni kweli alikuwa fisadi na kumbuka zile fedha za mdololo wa kiuchuni duniani hata sasa hakuna anayezungumzia ziligawiwa vipi, zilitumika vipi, na kwa uratatibu gani... ni walizichukua tu huko duniani, wakazitapanya kwa washikaji wao, wakazitumia kadri ya maono yao, wakazfrashi huko maliwatoni na sasa wamesahau kwamba walipewa fedha za mdororo wa kiuchumi duniani. Kilichi baki kwa sasa ni kufanya ma deal mengine ya Covid ili zije tena wazitapanye kwa kadri ya urefu wa kamba yao...
 
Huyu mzee wa Msoga kwenye Elimu alitisha Sana,

Fikilia SSH amejenga madarasa elfu15 kwa pesa ya mkopo kutoka IMF, kwa iyo idadi ni madarasa kidogo Sana kwa nchi Kama Tanzania. Serikali ya JPM iliferi vibaya Sana kwenye Elimu, ata kuajiri walimu alishindwa, aliajiri walimu wachache mno, Tena kwa mbwembwe za press conference.

SSH, yeye amekopa kujenga madarasa, wanafunzi wameanza shule this week lakini walimu hasa wa Sayansi hakuna. Serikali imeshindwa kuajiri walimu wa kufundisha watoto wetu. Shule hazina walimu wa hesabu, physics, chemistry na Biology.

Lakini JK alijenga Madarasa kila kata nchi nzima, hakukopa kujenga madarasa, aliajiri walimu maelfu kwa maelfu.mfano wa idadi ya walimu walioajiri kipindi Cha JK.

2012/2013- walimu 32,764
2013/2014- walimu 40,327
2014/2015- walimu 46,103

Lakini chini ya Magufuli

2015-2016-hakuajiri sababu ya uhakiki

2016-2017-walimu 3184
2017-2018-walimu 4854
2018-2019-walimu 4327
2018-2020-walimu 8543

Chini ya Samia
2021-walimu 6468

JK alipata wapi hela za kuwekeza kwenye Elimu, na JPM na SSH wameshindwa nini, ufaulu wa juzi 64% wamepata division four na zero kwa kidato Cha nne.

Swali, JK alipata wapi pesa kuwekeza kwenye Elimu?
elimu ya kata; mtu yeyote alikuwa anaajiliwa kuwa mwalimu na watoto walikuwa wanasoma chini ya miti. Ni swala la quantity, siyo quality
 
Ni vipaumbele tu, JPM aliwekeza kwenye miradi mikubwa mfano Stiglers na SGR, JK ndio akawekeza kwenye elimu nakumbuka kuna wakati ikasemekana hata lile wazo la shule za kata aliyelileta alikuwa Lowassa akiwa PM.

Samia licha ya kuwepo madarakani kwa muda mfupi bado haeleweki mipango yake, ila hali ya mambo inavyoonesha, naona wameshaanza kula kwa urefu wa kamba zao.

- Bwawa la Nyerere ni kama limeshawashinda, sioni cha maana wanachofanya zaidi ya kufanya ziara kuangalia maendeleo ya ujenzi wake watuzubaishe lakini baada ya hapo ni kimya. Ile habari ya winchi ya tani 24 iliyoagizwa nayo sijui iliishia wapi.

- Umeme kukatika hovyo bila sababu za msingi, mwanzo walisema chanzo kilikuwa ukame, lakini hata baada ya mvua kuanza kunyesha bado umeme unasumbua, tatizo ni nini? kama ni maintanance kwa nini tatizo bado liwe endelevu? hapa ndipo JPM anapokumbukwa.

- Tozo; walisema zitaenda kujenga madarasa na vituo vya afya matokeo yake wakatumia pesa za Covid kwa ajili ya kazi hiyo, sasa sijui hizi tozo wanazotoza mpaka leo zinatumika kwa kazi gani wala hatuambiwi tena kwa mwezi wamekusanya ngapi na zinaelekezwa wapi? mambo yanajiendea tu.

- Mfumuko wa bei, bidhaa kupanda bei kila siku wakiulizwa wanasema tatizo ni soko la dunia, nashangaa hata nyama ya n'gombe nayo kupanda imesababishwa vipi na soko la dunia wakati Tz tuna n'gombe wengi tu?.

Wengine wanasema "soko huria" kwa hiyo hili soko ndio limeachwa limuumize mlaji kama vile hakuna serikali ya kusimamia mambo? kumbe sasa Tanzania wafanyabiashara wako juu ya serikali.

Hapa tatizo ni usimamizi na ufuatiliaji, kuna uzembe umerudi serikalini.
True
 
Ni vipaumbele tu, JPM aliwekeza kwenye miradi mikubwa mfano Stiglers na SGR, JK ndio akawekeza kwenye elimu nakumbuka kuna wakati ikasemekana hata lile wazo la shule za kata aliyelileta alikuwa Lowassa akiwa PM.

Samia licha ya kuwepo madarakani kwa muda mfupi bado haeleweki mipango yake, ila hali ya mambo inavyoonesha, naona wameshaanza kula kwa urefu wa kamba zao.

- Bwawa la Nyerere ni kama limeshawashinda, sioni cha maana wanachofanya zaidi ya kufanya ziara kuangalia maendeleo ya ujenzi wake watuzubaishe lakini baada ya hapo ni kimya. Ile habari ya winchi ya tani 24 iliyoagizwa nayo sijui iliishia wapi.

- Umeme kukatika hovyo bila sababu za msingi, mwanzo walisema chanzo kilikuwa ukame, lakini hata baada ya mvua kuanza kunyesha bado umeme unasumbua, tatizo ni nini? kama ni maintanance kwa nini tatizo bado liwe endelevu? hapa ndipo JPM anapokumbukwa.

- Tozo; walisema zitaenda kujenga madarasa na vituo vya afya matokeo yake wakatumia pesa za Covid kwa ajili ya kazi hiyo, sasa sijui hizi tozo wanazotoza mpaka leo zinatumika kwa kazi gani wala hatuambiwi tena kwa mwezi wamekusanya ngapi na zinaelekezwa wapi? mambo yanajiendea tu.

- Mfumuko wa bei, bidhaa kupanda bei kila siku wakiulizwa wanasema tatizo ni soko la dunia, nashangaa hata nyama ya n'gombe nayo kupanda imesababishwa vipi na soko la dunia wakati Tz tuna n'gombe wengi tu?.

Wengine wanasema "soko huria" kwa hiyo hili soko ndio limeachwa limuumize mlaji kama vile hakuna serikali ya kusimamia mambo? kumbe sasa Tanzania wafanyabiashara wako juu ya serikali.

Hapa tatizo ni usimamizi na ufuatiliaji, kuna uzembe umerudi serikalini.
True
 
Kwani umesahahu, alikuwa Matonya wa kimataifa na aliwakaba sana ipasavyo mashati na huko Davos akina Bill gates, Clinton na hadi Obama... sasa kazi kwake chief Hangaya na hizo hadithi zake za kutanganza utalii na mambo ya ushirikikina wa ma- chief huko Magu na sasa Kilimanjaro, sijui kama italipa au zitawakuwa ni danadana za sanda kalawe pangu pakavu tia mchuzi... ngoja tuone jinsi ma- chief watakavyo muwezesha hadi afikie kiwango cha JK Mzee wa Msoga na mtoto waq mjini na Bandari ya Bagamoyo...
Mzee wa Msoga alilipa hadi wafanyakazi hewa
 
Tikiti kabisa, eti shule kongwe, kujenga madarasa kila kata nchi nzima sio mchezo, JPM kwenye Elimu aliferi vibaya sana
Wewe taahira endelea kuwashwa washwa na Magufuli! Unaleta uzi ili kuja kumzungumzia Mwanaume Magufuli!
 
Back
Top Bottom