Fundi rangi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 3,527
- 1,207
Wapendwa wadau, Mzee wetu Ndugu Kabejema Rubainda, alitoweka nyubani Segerea Dar es salaam, kwa ndugu Alex Binomtonzi.
Mzee huyu ni mgeni ametokea Karagwe Kagera.ana umri wa miaka 80, hana matatizo ya akili. Alitoweka tangu ijumaa jioni ya tare he 12/12/2014, alikuwa amevaa shati la kijani mpauko,kandambili za rangi ya njano (yeboyebo)
Taarifa za police ni STK/rb/1696/14. 13/12/2014. Kwa yeyote atakaye muona tunaomba msaada wako kwa kutoa taarifa Police au waweza kupiga simu kwa namba.
0713225950 Alex
0766 111212 Tegamaisho
Asanteni na Mungu awabariki.
Mzee huyu ni mgeni ametokea Karagwe Kagera.ana umri wa miaka 80, hana matatizo ya akili. Alitoweka tangu ijumaa jioni ya tare he 12/12/2014, alikuwa amevaa shati la kijani mpauko,kandambili za rangi ya njano (yeboyebo)
Taarifa za police ni STK/rb/1696/14. 13/12/2014. Kwa yeyote atakaye muona tunaomba msaada wako kwa kutoa taarifa Police au waweza kupiga simu kwa namba.
0713225950 Alex
0766 111212 Tegamaisho
Asanteni na Mungu awabariki.