Mzee huyu amepotea kwa atakaye muona tunaomba msaada

Fundi rangi

JF-Expert Member
Sep 11, 2014
3,527
1,207
Wapendwa wadau, Mzee wetu Ndugu Kabejema Rubainda, alitoweka nyubani Segerea Dar es salaam, kwa ndugu Alex Binomtonzi.

Mzee huyu ni mgeni ametokea Karagwe Kagera.ana umri wa miaka 80, hana matatizo ya akili. Alitoweka tangu ijumaa jioni ya tare he 12/12/2014, alikuwa amevaa shati la kijani mpauko,kandambili za rangi ya njano (yeboyebo)

Taarifa za police ni STK/rb/1696/14. 13/12/2014. Kwa yeyote atakaye muona tunaomba msaada wako kwa kutoa taarifa Police au waweza kupiga simu kwa namba.

0713225950 Alex
0766 111212 Tegamaisho

Asanteni na Mungu awabariki.
 
Poleni sana wapendwa, lakini mngekuwa na picha nadhani ingesaidia zaidi watu kumtambua kama ndiye aliyepotea. Mungu atafanya wepesi inshallah.
Ova
 
Poleni sana wapendwa, lakini mngekuwa na picha nadhani ingesaidia zaidi watu kumtambua kama ndiye aliyepotea. Mungu atafanya wepesi inshallah.
Ova
Asante ngugu kwa upendo, ni imani yetu Mpendwa wetu atapatikana.
 

Attachments

  • IMG-20141214-WA0001.jpg
    IMG-20141214-WA0001.jpg
    91.4 KB · Views: 685
  • IMG-20141214-WA0002.jpg
    IMG-20141214-WA0002.jpg
    100 KB · Views: 403
Wapendwa wadau, Mzee wetu Ndugu Kabejema Rubainda, alitoweka nyubani Segerea Dar es salaam, kwa ndugu Alex Binomtonzi.

Mzee huyu ni mgeni ametokea Karagwe Kagera.ana umri wa miaka 80, hana matatizo ya akili. Alitoweka tangu ijumaa jioni ya tare he 12/12/2014, alikuwa amevaa shati la kijani mpauko,kandambili za rangi ya njano (yeboyebo)

Taarifa za police ni STK/rb/1696/14. 13/12/2014. Kwa yeyote atakaye muona tunaomba msaada wako kwa kutoa taarifa Police au waweza kupiga simu kwa namba.

0713225950 Alex
0766 111212 Tegamaisho

Asanteni na Mungu awabariki.
Hii ndiyo picha ya Mzee wetu.
 
Mungu wa upendo awajalie subira, hekima na maarifa katika kipindi mnachosubiri kusikia habari za mpendwa wenu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom