johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Baada ya kumsikiliza mkongwe huyu wa chama cha mapinduzi mzee Mkali kwamba CCM mambo ni shwari nimeridhika kabisa na sasa naendelea na ujenzi wa chama.
Mzee Mkali na mzee Mustapha Songambele nimekuwa nikiwaelewa sana tokea kuzaliwa kwa CCM 1977.
Kumbe hao kina Kibajaji, Musukuma, Nape and co wanatafuta kiki tu kuelekea uchaguzi mkuu 2020
Ni hayo machache
Maendeleo hayana vyama!
Mzee Mkali na mzee Mustapha Songambele nimekuwa nikiwaelewa sana tokea kuzaliwa kwa CCM 1977.
Kumbe hao kina Kibajaji, Musukuma, Nape and co wanatafuta kiki tu kuelekea uchaguzi mkuu 2020
Ni hayo machache
Maendeleo hayana vyama!