Mzee Hassan Mwinyi alikuwa wapi wakati wa Vita ya Kagera na kupigania Uhuru?

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Salaam Wakuu,

Tanzania tumepitia Vipindi Tofauti. Rais wetu Mstaafu Ali Hassan Mwinyi ujana wake alikuwa wapi? Rais wa awamu ya Pili baada ya Nyerere.

Kupigania Uhuru hasemwi, Sherehe za kuchanganya Udongo hatokei hata kwenye picha. Vita ya Kagera ndo kabisa haonekani hata akihamasisha watu wampige Idd Amin Dada.

Amekuja kuibukia Zanzibar. Leo ni mstaafu ambaye anadai kazaliwa Tanganyika. Kitabu chake hajatuambia kama aliwapokea wapambanani wakina Mayunga, Mamba na Cobra.

Je, alikuwa Masomoni?

pic-kagera (1).jpg
images (1).jpeg
images (3).jpeg
images (2).jpeg
pic-kagera.jpg
 
Ramli chonganishi hii!!!Mambo ya nyerere na vijana wake ni pasua kichwa sana!!Hebu fikiria!Mramba na Mkapa,Mwinyi na Salim Ahmed Salim!!!Kagame,Laurent Kabila na Museveni Full mapicha picha!!!
 
Mzee Mwinyi inasemekana kipindi hiko alikuwa bado hajazaliwa. Au nasema uongo ndugu zangu!???
 
1977 Mwinyi alijiuzulu uwaziri, 78/79 wakati wa vita alikuwa zake benchi anakula urojo!
 
Balozi wa masri waka huo..
Ukipewa ubalozi ni kuwekwa benchi. Hiyo kazi haina hata JOB DESCRIPTION ndio maana ukizeeka au ukichokwa na mamlaka unapewa ubalozi.
Dr. Slaa anashinda tu Twitter hana kazi yupo tu benchi!
 
Back
Top Bottom