ccm bhana mara utasikia mzee ana date na zuchu mda c mrefu, ili watutoe kwenye reli ya kudai katiba mpya na Mbowe siyo gaidiHapo ndio uwezo wao wa ubunifu ulipoishiaView attachment 1895527
Mkuu wa wiliaya ya Rufiji kushoto pamoja na Mkurugezi wa halmashuri ya wilaya ya Rufiji (Kulia) wakimtambulisha balozi wakuzuia na kupambana na Rushwa mzee Haji Mpili jana wilayani humo
Central Intelligence Agency (CIA) hawa ni mashushushu wa USkirefu cha hiyo CIA ni kipi?
Hata English anaijua kweli?Central Intelligence Agency (CIA) hawa ni mashushushu wa US
Nani Mzee Mpili au?Hata English anaijua kweli?
WalaRushwa wote wa Rufiji wamewekewa akiba ya kifurushi cha matusi ya mzee Mpili endapo watatiwa nguvuniHapo ndio uwezo wao wa ubunifu ulipoishiaView attachment 1895527
Mkuu wa wiliaya ya Rufiji kushoto pamoja na Mkurugezi wa halmashuri ya wilaya ya Rufiji (Kulia) wakimtambulisha balozi wakuzuia na kupambana na Rushwa mzee Haji Mpili jana wilayani humo
Huyu mzee anatukana sana na tena matusi ya nguoni sijui vilitumika vigezo gani kumpa huo ubalozi.WalaRushwa wote wa Rufiji wamewekewa akiba ya kifurushi cha matusi ya mzee Mpili endapo watatiwa nguvuni
YeahNani Mzee Mpili au?
hii nchi ni comedy toshaNitaanza kampeni ya nchi nzima kuloga walarushwa kuanzia January 2022. Walarushwa mwisho wenu umekaribia.
Kwani mnaenda wapiHatuwezi kufika kwa mtindo huu.....
Wabongo katika Ubora wetuHapo ndio uwezo wao wa ubunifu ulipoishiaView attachment 1895527
Mkuu wa wiliaya ya Rufiji kushoto pamoja na Mkurugezi wa halmashuri ya wilaya ya Rufiji (Kulia) wakimtambulisha balozi wakuzuia na kupambana na Rushwa mzee Haji Mpili jana wilayani humo