Ila alichofanyiwa CHADEMA hakikuwa sahihi, pamoja na madhaifu yake kama alikuwa hatakiwi aenge elezwa tuu na si kudhalilishwa namna ile, ni kweli CHADEMA tuna hasira kweli kweli na 'dola' lakini haikuwa sahihi kumbwagia hasira zetu Sumaye.
Wewe ndiye uliropoka kwa kuniita mtoto. Kwa taarifa yako, mimi ni mkubwa kuliko babaako. Uwe na heshima. Sasa kama una ubavu, jibu hoja yangu ya kwanini aliacha kugombea Urais lakini anang'ang'ania kugombea uwenyekiti?Sasa Mkuu, baba yangu anaingiaje hapa? Hoja yako ilikuwa Mbowe anaogopa kugombea Urais. Nami nimekwambia alishagombea. Punguza kuropoka!
Mfiaukweli nimekwambia Huyo Mwalimu mliyekuwa naye ni Daddy Igogo. Na mlirekodiwa bila kujua sema kama unabisha niweke mzigo hapa na sauti zinasikika vyema japo kuna wakati mlijitahidi kupunguza sauti ila mic iliyokuwa karibu yenu ilifanya yake.
My dear you saying there is no democracy in chadema coz one person lost in an election is not fair at all, There are many chadema boses who lost and they agreed that its democracy.My point is simple my dear you cant judge a whole party via a single event where one has lost in a free and fair election, Why didnt he provied tangable evidence proving that he was rigged out,Let him go, we are still there fighting till TZ IS AND WILL BE FREE, barikiwa sana dada na weekend jemaTHE SEAL,
Two wrongs do not make a right. Sasa kwa vile CCM hakuna demokrasia wala maendeleo na CHADEMA napo ni sawa kutokuwa na demokrasia na maendeleo? I thought Chadema wapo pale ili kuikomboa nchi kutoka kwenye Ukiritimba wa CCM? Kumbe in reality CHADEMA ni worse kuliko hata hao CCM.
Ile ile inaanza +255Hivi namba yake ni ile ile mbona Mimi nikimpigia haipatikani au ameni black list
Kumbe ya kwangu ipo tofauti na hiyoIle ile inaanza +255
Pole kama amekublacklist kumbuka ni mbahiri sana huyu unakumbuka kuna Siku alijibu bungeni tuhuma za kununua mashamba alisema yeye posho zake anazolipwa hawezi nunua mishikaki sasa kama posho anawekeza ujuwe ni MTU aina gani huyuKumbe ya kwangu ipo tofauti na hiyo
Ka vailishe mtoto Chupa pampasi wewe achana na chademaSumaye mwaga mboga
Tumechoka kunyanyaswa na dikteta Mbowe