Mtaendelea kulialia hivyo hivyo miaka nenda rudi.Kwani Sumaye ni wa kwanza kuleta hizi tuhuma dhidi ya Mbowe?
Acheni utoto!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaendelea kulialia hivyo hivyo miaka nenda rudi.Kwani Sumaye ni wa kwanza kuleta hizi tuhuma dhidi ya Mbowe?
Acheni utoto!
Tena uongozi wa Chadema Makao Makuu uliniomba mimi kutochukua fomu ya kuomba uongozi wa Kanda ya Pwani ili kumheshimu Mzee Sumaye , kilichobaki ilikuwa yeye kujinadi kwa wajumbe tu , zaidi ya ilichofanya Chadema isingewezekana kuwalazimisha wajumbe .
Mabina ambaye alikuwa Katibu wa kanda ya Pwani wa Chadema hadi mapema leo amewasilisha barua ya kujihuzuru nafasi hiyo.
I think you are missing my point.Narudia chadema wamejifunza makosa waloyafanya kwa Lowassa Nini shida mzee.
MabinaNi nani huyo
kweli aisee, CHADEMA hakuna demokrasia kabisaSumaye mwaga mboga
Tumechoka kunyanyaswa na dikteta Mbowe
Angekua HE JPM ungesemaje Kama sio dua la kuku,Mungu akuadhibu kwa chuki zako. Uchukiwe na kila mtu.
Mungu akuadhibu kwa chuki zako. Uchukiwe na kila mtu.
Mwenyekiti wa nini, hata Sumaye anayesema Chadema hakuna demokrasia alikuwa mkiti wa kanda.Mbona nyalandu kajiunga 2017 ila sasa mwenyekiti
Una uhakika gani kuwa Sumaye amezungumza yakweli au ni stress za kukosa kura?I think you are missing my point.
The issue here is not Sumaye winning or losing an election.
My argument is on the principal issue of the right to be given the opportunity to aspire for the chairmanship. These election controversies in Chadema taints a black picture to the party's image and stature.
Ni yapi maoni yako kumuhusu ndg Mbowe kuendelea kuutaka uenyekiti wa chama?Amechelewa, alitakiwa aachie toka jana jioni. Kwanza alivyokuwa anaendelea kuwa katibu wa kanda alikuwa anatukwaza. Aende ccm awaombe wampe kadi namba moja ya ccm iliyokuwa ya Nyerere ili cdm ife vizuri.