Hao Chadema sasa ndio wajifunze! Sio kila mtu anayawenza mapambano ya upinzani. Imagine! Leo palikuwa na rundo la polisi ndani na nje ya ukumbi, na pia palikuwa magari mawili ya polisi yanaranda randa hapo chini. Hakunaga mpinzani analindwa hivyo na polisi zama hizi.
CHADEMA waache kupokea makorokocho ya CCM! Especially yaliyofikia umri wa kustaafu. Wawajenge watu wao wenyewe tangu wakiwa vijana. Acheni kuokoteza majitu ya CCM yanayowazia matumbo yao, si kila mtu kaumbwa kupambana kutetea wengine! Haya ndio matokeo.
CHADEMA waache kupokea makorokocho ya CCM! Especially yaliyofikia umri wa kustaafu. Wawajenge watu wao wenyewe tangu wakiwa vijana. Acheni kuokoteza majitu ya CCM yanayowazia matumbo yao, si kila mtu kaumbwa kupambana kutetea wengine! Haya ndio matokeo.