Mzee Frederick Tluway Sumaye ajiondoa CHADEMA. Asema mambo yamembadilikia CHADEMA baada ya kuchukua fomu kugombea Uenyekiti Taifa

Mambo matatu muhimu:
1. Policy makers wa CHADEMA watafakari kuhusu hatua waliyochukua kuwapokea watu wa CCM. Hii iwe fundisho, Viongozi wa CHADEMA wawe wanafanya risk assessment kwa kila jambo wanalokuwa wanataka kufanya.
2. Kulingana na siasa za namba moja, ni sahihi kwa yeyote aliyekuwa na makando kando kuufyata. CCM wanajulikana, nani msafi?
3. Kujiunga na upinzani haijawahi kuwa rahisi ukiachilia kutahamalaki kwa chuki za waziwazi hii leo nchini.
Ukiwaambia ukweli huu utaishia kutukanwa.
 
Watanzani leo tumemsikia aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Pwani Mh Sumaye ambaye ameshindwa kutetea kiti chake hicho akitangaza kujiondoa CHADEMA baada ya kutoridhika na jinsi Mchakato wa Uchaguzi ndani ya chama unavyoendeshwa na Viongozi wakuu wa chama hicho akiwemo Mh Mbowe.

Pia amezungumzia jinsi ilivyo hatari kugombea nafasi ya Uenyekiti Taifa wa Chama hicho inayogombewa na Mh Mbowe. Naomba tujadili japo kidogo juu ya Demokrasia ndani ya CHADEMA.Je ni sahihi CHADEMA kulalamika kuwa Tanzania hakuna Demokrasia wakati yenyewe CHADEMA ndani ya Chama chao wanachama wanalalamika kuwa hakuna Demokrasia? Wanachama wanadai Viongozi wa juu ndio wanatoa maelekezo kwa wajumbe wapige kura nani .
 
Mama, kwa akili ya kawaida kabisa, ulitegemea chama kikubwa kama chadema kimpe uongozi wa juu kabisa wa chama mtu kama Sumaye? Mtu ambaye bado ana shombo ya ccm?

Tungekuwa wajinga sana. Kwanini wasipewe watu wafia chama kama kina Heche, Lema, Msigwa nk? Tumpe sumaye!

Haitakaa iwezekane.
Mngemuacha ashindane na shindwe kwenye box la kura sasa vitisho vya nini? Kachukua tu form umemuundia zwengwe ! Chadema imefika mwisho sasa hila zenu zote ziko wazi Mbowe anawamaliza kwa masrahi yake binafsi. Mwakani mtaangukia pua zaidi ya mwaka huu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa! Chadema ni chama cha wahuni , wenye akili timamu hawawezi kudumu pale...yuko wapi Dr. Slaa, Lisu, Lowasa, Zito, na wengine wengi? Mmebakia wajinga watupu endeleeni kuburuzwa tu
 
Huyu mzee kwenye kampeni za 2015 alisema "ccm watoe hirizi zao ikulu" kwa sababu wapinzani wanachukua. Hii dalili labda ile hirizi bado ipo pale
 
Watanzani leo tumemsikia aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Pwani Mh Sumaye ambaye ameshindwa kutetea kiti chake hicho akitangaza kujiondoa Chadema baada ya kutoridhika na jinsi Mchakato wa Uchaguzi ndani ya chama unavyoendeshwa na Viongozi wakuu wa chama hicho akiwemo Mh Mbowe .Pia amezungumzia jinsi ilivyo hatari kugombea nafasi ya Uenyekiti Taifa wa Chama hicho inayogombewa na Mh Mbowe. Naomba tujadili japo kidogo juu ya Demokrasia ndani ya Chadema.Je ni sahihi Chadema kulalamika kuwa Tanzania hakuna Demokrasia wakati yenyewe Chadema ndani ya Chama chao wanachama wanalalamika kuwa hakuna Demokrasia?Wanachama wanadai Viongozi wa juu ndio wanatoa maelekezo kwa wajumbe wapige kura nani .

IMG-20191204-WA0009.jpg
 
Ametumia haki yake ya kidemokrasia na uhuru wa maoni ndani ya CHADEMA..

Ingelikuwa ni kwa chama cha CCM hata hiyo nafasi ya kuitisha huo mkutano wa vyombo vya habari..

Kikubwa tumtakie safari njema na yenye mafanikio huko aendako.
 
Ramark, Wenye akili tu ndiyo wanaweza kuelewa lkn mambumbumbu yataendelea kuburuzwa kwasbb imepumbazika...wote mnaomtetea Mbowe hamna akili timamu
 
CHADEMA hawana tofauti na serikali ya CCM iliyojitoa mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu ili iendelee kuua raia wake Paso kushtakiwa nje na mahakama inazozimiliki.
 
kuwa upinzani panahitaji moyo na uvumilivu naona mzee sumaye imemshinda,

Haelewi huyu pandikizi wa CCM waliozoea kuteuliwa, ndo maana Mwenyekiti CHADEMA alitoa nasaha nzito lakini kina Sumaye na CCM ya awamu ya 5 hawawezi kuelewa nini maana ya chaguzi za haki na huru

 
Nawapongeza Sana Wapiga Kura Wa CHADEMA Kanda ya Pwani Kwa Kumpigia Kura ya hapana Mh. Sumaye.

Kwa hakika waliona mbali wanastahili Pongeza.
 
Karne, Inafikirishaa! Unajua wanaposema classified secrets wanamaanisha kila kila siri ina watu wake. Ukweli ni kuwa baadhi ya siri anazo Mwenyekiti pekee ndani ya chama ila taasisi ingine ya umma inazijua.
 
Mngemuacha ashindane na shindwe kwenye box la kura sasa vitisho vya nini? Kachukua tu form umemuundia zwengwe ! Chadema imefika mwisho sasa hila zenu zote ziko wazi Mbowe anawamaliza kwa masrahi yake binafsi. Mwakani mtaangukia pua zaidi ya mwaka huu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa! Chadema ni chama cha wahuni , wenye akili timamu hawawezi kudumu pale...yuko wapi Dr. Slaa, Lisu, Lowasa, Zito, na wengine wengi? Mmebakia wajinga watupu endeleeni kuburuzwa tu
Sasa anayewaongoza alipata div zero , hapo hamna chama ni wahuni Tu fulani
 
Hivi hiki chama ni cha Mtu binafsi au!! Mnasababisha hata sisi ambao hatujui siasa tuanze kujiuliza sasa Aaaaagh.
 
Chadema wanafeli kwa kudhani only one person ndiyo anaiweza Chadema. Watazidi Ku loose mpaka wote watamchoka Mbowe. Basi wafanye kama ACT Wazalendo
 
Back
Top Bottom