Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Tena hawana umuhimu ktk serikali ya JK. We ngoja iwatimue. (ila mimi nafsi yangu naelewa bila hao nisingekuwa mtalaam leo).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa walimu ndo hawa wanatumiwa kwenye sherehe zao zakizandiki kama mwenge,uhuru,mapinduzi,muungano n.k siunajua cku hizi watu hawaendi kwenye upuuzi huo, kisha leo hii wanawazarau hiyo haitoshi walimu wengi ndo watakua waandika sensa mimi nataka wagome na siku hiyo, SIIPENDI NCHI YANGU LABDA HADI HAPO CCM WATAPOIACHIA
kwa mawazo yako mwalimu akipokea mshahara wa milioni moja ,huo mkate ataununua bei gani?
Kama serikali ikubali madai hayo na kupandisha mishahara ujue utakua unaenda sokoni na gunia la noti kununua njegere.
huyo njaa inamsumbua mishipa imemtoka kupigania tumbo lake si mmoja wa wale wazee wanaoitwaga diomond hallHuwa anashiriki mijadala kwenye Luninga,especially Star tv. Mara kadhaa anatoaga maoni as if ni amri,WTF..! Who is this morony? Leo anafoka '" Ooh naipongeza serikal ya awamu ya nne,kwanza walimu ni watu wadogo sana...namwambia IGP Mwema kamata wote weka ndani,pia hao watoto wanaoandamana kamata weka ndani..Rais si wakuchezewa..bla bla...
Ujumbe umewafikia walimu....wasimame...waweze kuthibitishwa kuwa wao sio watu wadogo....ila njaa zao zitawapelekea waache mshikamano.
Nafurahi kuona Mgomo ulioandaliwa kipindi cha Likizo
Watu kama hao ni kama hawana akili wasubiri zamu yao ikifika kuna majuto!!! Kwani yeye na nani antoa amri kwa IGP zisizo na kichwa wala miguu????Hao ndio maghambas bwana!!!Katika kipindi cha tuongee asubuhi,
Mzee Falijara kada wa CCM akiwa na Naibu katibu Mkuu Wizara ya Elimu ameamuru jeshi la polisi kukamata na kuwatia ndani Walimu wote wanaogoma.
Ameenda mbali na kusema Walimu ni watu wadogo sana katika nchi hii na wanatumiwa ili kuyumbisha Serikali ya Awamu ya Nne.
Amemsisitiza IGP Mwema kuwapa amri makamanda wote ya kuwakamata Walimu wote wanaoendelea kugoma.
Source: Star Tv