Mzee Mtei amekiri live kuwa CHADEMA ni kweli wamewachochea vijana wao jasiri kudai haki zao.
Nimefurahishwa sana na kauli yake bila kutafuna maneno:dance:. Big up Mzee Mtei!
Source: Channel 10 news at 1900hrs on 24 May 2011.
Kwa umri wa Mzee Mtei hawezi kuwa mwongo kwa vyovyote. Kama ndivyo, CDM must review its strategy asap!
Mzee Mtei amekiri live kuwa CHADEMA ni kweli wamewachochea vijana wao jasiri kudai haki zao.
Nimefurahishwa sana na kauli yake bila kutafuna maneno:dance:. Big up Mzee Mtei!
Source: Channel 10 news at 1900hrs on 24 May 2011.
Mzee Mtei amekiri live kuwa CHADEMA ni kweli wamewachochea vijana wao jasiri kudai haki zao.
Nimefurahishwa sana na kauli yake bila kutafuna maneno:dance:. Big up Mzee Mtei!
Source: Channel 10 news at 1900hrs on 24 May 2011.
mmmmm!!!!! Basi hivi vyombo vya habari vina mambo! Mimi nimemsikia ITV anasema serikali inachukizwa na somo la uraia ambalo wao wanawafundisha watu na waliotokea kulipokea na kulielewa zaidi ni vijana! Sasa hapo sijui kaongea kwa nyakati tofauti tofauti?
Mimi sidhani Mtei alikuwa na maana ya kwenda Nyamongo na kuwaita vijana na kuhubiri vurugu . Mtei ana maana vijana wa Chadema akina Zitto, Lema , Lissu nk hawa ndiyo anao zungumzia sasa ukidhani ni kundi jingine nadhani patakuwa na mjadala mrefu usio na sababu
Kwa umri wa Mzee tei hawezi kuwa mwongo kwa vyovyote. Kama ndivyo, CDM must review its strategy asap!