Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
- Thread starter
- #1,121
Labda huyo alikuwa mtamu sana akaamua kuchonga mzinga kabisaAngekuwa anatafuta joto kwa mikataba mifupi mifupi
Labda huyo alikuwa mtamu sana akaamua kuchonga mzinga kabisaAngekuwa anatafuta joto kwa mikataba mifupi mifupi
Imeandikwa"Msirithi wajane"vyote
Kuna sehemu niliona wameandika kuwa ana miaka 74how old was he?.... kuna mahali waliandika nimesahau
Kazi lkn,dunia imejaa vitamu,haki ya nani bila msaada wa Mungu wengi tutakuwa km huyo mzee na mwenzake Mengi.mzee masikini amekufa. Kama alijikunja ili kitoke kwa nguvu matokeo ndiyo hayo! Anyway, nwapa pole wafiwa. Umri ule kuna vitu tuviache jamani!
Viagra noma kama una presha ya kushuka,huyu kafia kifuani masikinYamewadia
Cariha,mrembo una maneno weye eti kukomoa papuchi.Vijana wengi wanataka kuwa na wengi na ni rahisi kukuletea ukimwi kisa kukomoa papuchi, so Bora kuwaacha wahangaike
Hehehe nakuaminia wewe hushindwagi kituKama kazi .. hadi mwanza patukome..na ile request ya mpunga naifanya sasa.. maana haitopo potea bure bure
Mengi alijitumbukiza kwa malaya yule, akachomoa bateri!Kazi lkn,dunia imejaa vitamu,haki ya nani bila msaada wa Mungu wengi tutakuwa km huyo mzee na mwenzake Mengi.
Dah!!!,Mapenzi upofuMengi alijitumbukiza kwa malaya yule, akachomoa bateri!
Mengi alipenda, lkn binti alifuata pesa maana Mengi hawezi kuwa na mkwaju wa kumtosheleza......Dah!!!,Mapenzi upofu
Tamaa mbele,mauti nyumaMengi alipenda, lkn binti alifuata pesa maana Mengi hawezi kuwa na mkwaju wa kumtosheleza......
Mkuu you said it all .vijana wasiku izi wanaota kuwa na sugar mamii wakuwalea, ko hata vibint mtaani havitaki tena masharobaro kwakuwa wanajua hawana hela kazi kuramba midomo 😂😂View attachment 1634263
My take; Vijana tafuteni pesa kwa nguvu zote, ukishakuwa na fedha, Uzee unaisha, watoto wa mjini wanasema "Uzee mwisho Chalinze". Sasa wewe endelea kutafuta Six pack,utaishia kuwaita watoto wazuri Shemeji.
Naloli MwaisaUkiwa na hela unakula vyote, mchicha hadi kitimoto, ukiwa choka mbaya wewe ni mchicha tu.
Tafuteni hela hata ukizeeka utang'oa Pisi kali
Vijana wa siku hizi wanapenda vya bure,sasa waendelee kuwaita pisi Kali shemejiMk
Mkuu you said it all .vijana wasiku izi wanaota kuwa na sugar mamii wakuwalea, ko hata vibint mtaani havitaki tena masharobaro kwakuwa wanajua hawana hela kazi kuramba midomo
hapana, by default, common reasoning kwa umri huo, longevity ya yoyote haiko mbali, ni fupi!Duu, mzee kama uliona mbali vile
Ila huyu Mzee alifanya mambo makubwa pale Maswa.. kwa kipindi kilehapana, by default, common reasoning kwa umri huo, longevity ya yoyote haiko mbali, ni fupi!
Ukiwa na hela unakula vyote, mchicha hadi kitimoto, ukiwa choka
😂😂😂😂Vijana wa siku hizi wanapenda vya bure,sasa waendelee kuwaita pisi Kali shemeji
Huyo kimoja tu chali
Mzee alipokuwa kisutu pale, alikutana na vijana wanasheria wabichi wakamshauri kutumia Mjina Mrefu na yule bankerShida ndipo ilipoanziaAiseeeeeeeee!! Hivi ni "FUTA" au "ERECTO"(MUNDENDE) ndio Chanzo?