Siasa mbaya sana
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 1,814
- 3,107
sawa ilimradi uweze zitunza vizuri sio unatamani madera tuBaba anatafuta mama anatunza...... huu ndio unaitwa mgawanyo wa majukumu☺☺
sawa ilimradi uweze zitunza vizuri sio unatamani madera tuBaba anatafuta mama anatunza...... huu ndio unaitwa mgawanyo wa majukumu☺☺
sawa ilimradi uweze zitunza vizuri sio unatamani madera tu
nikweli mama d hakika jamaa amepata mke kama unachokisema ndo unachokifanyaKazi hapo kubwa ni kutunza pesa na kumtunza mtafutaji pesa
Wameua kuurudia ujanaMkapa ana balaa ndio maana kajifia mawaziri wake,kapuya huyu mzee, mandosya vipi huko mbeya mabinti hawakuoni huko wakati wa mazoezi.naombeni list ya mawaziri wake mkapa mtoe jpm jk
Binti anatafuta matunzo, kurithi, hakuna love hapo, pumbavu wote kabisa. Jizee lmebakiza siku ngapi kufa? Linaoa ili iweje?
Ulitaka ww ndio utunzwe? Muache Dada akafurahie uumbajiBinti anatafuta matunzo, kurithi, hakuna love hapo, pumbavu wote kabisa. Jizee lmebakiza siku ngapi kufa? Linaoa ili iweje?
Mkuu kifo hakiaangalii umri.Binti anatafuta matunzo, kurithi, hakuna love hapo, pumbavu wote kabisa. Jizee lmebakiza siku ngapi kufa? Linaoa ili iweje?
Kabisaa
Nguvu ninazo bado udongo wangu mzuri76 hapana Jamani. Asizidi 58
Mila na desturi za mwafrika na haswa mtanzania? Hivi hujui wazee kuoa watoto ndiyo utamaduni wetu na kuwa ni siku hizi tu unaanza kufifia? Hujui zamani wanaume walikuwa wanaoa mpaka wake watano na mara nyingi mke wa mwisho alikuwa ana umri mdogo kabisa kulinganisha na mumewe?huu ndio mwisho wa dunia, wazee wanaoa wajukuu zao!! heshima iko wapi?!! huu ni ukosefu wa maadili ya kiutamaduni.
Mila na desturi za Mwafrika na haswa mtanzania zinapingana na tabia kama hii, sasa sijui ni dalili gani hizi!! inawezekana ndio mwisho wa dunia
halafu unakuta wapo watu wanafurahia huu upuuzi kinafiki!
Nguvu ninazo bado mamii udongo wangu mzuri76 hapana Jamani. Asizidi 58
☝️ Bulesi ni nini lakini☺☺☺Vijana mna wivu kwavile nyie warembo hawataki!!! Msifikiri wazee ni wajinga kwani kuishi kwao kumewapa uwezo wa kutatua mambo menig ya maisha ambayo nyie hamuyajui!!! Wazee wa leo sio tu kuwa wana pesa ya kuwatunza warembo bali hata kuwaridhisha kimapenzi/kitandani kuliko nyie wala chips mayai! Kama mnabisha waulizeni dada zenu.
Kufa hakuangalii umri, wewe mwenyewe unaweza ukafa ukamuacha mzee anakula vituBinti anatafuta matunzo, kurithi, hakuna love hapo, pumbavu wote kabisa. Jizee lmebakiza siku ngapi kufa? Linaoa ili itweje?
Wacha tuendelee kula tizi kutafuta sex packsKufa hakuangalii umri, wewe mwenyewe unaweza ukafa ukamuacha mzee anakula vitu
Mimi Kama mwanamke na prefer mzee kuliko kijana, wazee wanajua Mambo mengi, kutunza kujali na hata kusikiliza na kubembeleza tofauti na wavulana, ni kero tu wanazo kwa wanawake na malalamishi mengi. KWA kweli wazee wako vizuriVijana mna wivu kwavile nyie warembo hawataki!!! Msifikiri wazee ni wajinga kwani kuishi kwao kumewapa uwezo wa kutatua mambo menig ya maisha ambayo nyie hamuyajui!!! Wazee wa leo sio tu kuwa wana pesa ya kuwatunza warembo bali hata kuwaridhisha kimapenzi/kitandani kuliko nyie wala chips mayai! Kama mnabisha waulizeni dada zenu.
Umri ni namba tu mkuuAiseeee mbona umri wake huyo mrembo ni sawa na mjukuu wake?