Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Msuya anayumba sana kwenye kuliongelea hili swala la KATIBA. Kinachohitajika siyo marekebisho ya katiba, ni KATIBA MPYA.N warioba pekee aliyekuwa anasimama hata enz za dikteta kuwa katiba n muhimu
Hao akina msuya wametokea wapi tena
Anauma huku anapuliza. Hatuhitaji katiba inayopendekezwa (ile inapendekezwa na CCM), tunahitaji Rasimu ya Warioba ndiyo inayotakiwa kujadiliwa.
Anaogopa kuukata mkono uliomlea, anayumba sana mzee. Atulie kwenye kuliongelea hili vinginevyo akae kimya.
Kuna maeneo anaongea kama vile hataki vyama vingi, halafu anakuja anarekebisha hoja yake kwamba vyama vinavyotakiwa visiwe vingi sana. Anatembea kwa kukanyaga kwa uangalifu sana ili asiwaudhi wana CCM wenzake. Akae kimya tu mzee wetu.